Skip to main content

CHADEMA WATIKISA MKOA WA RUVUMA KWA KUFANYA MAANDAMANO MAKUBWA!

Maandamano ya pikipiki yakitembea kutoka maeneo ya Msamara (Hoteli ya Top One Inn) kuelekea viwanja vya shule za msingi vya Kiburang'oma na Mloweka kupitia Barabara ya Peramiho. Maandamano hayo yalitembea zaidi ya kilometa 10 kuelekea Kata ya Lizaboni Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma yaliyoanza saa 9 alasiri leo.





Maandamano yakipita katikati ya mjini wa Songea karibu na Stendi Kuu ya Mabasi yaendayo mikoani.



Kina mama nao hawakuwa nyuma kwa kutembea kilometa 10 kutoka Hoteli ya Top One Inn hapo Msamara walipofikia viongozi mbalimbali wa Chadema kuelekea Lizaboni kupitia barabara ya Peramiho na maadamano hayo yaliishia viwanja vya shule ya msingi ya Kiburang'oma kwa ajili mkutano wa hadhara.






Viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakiongoza maandamano wakiwemo M/kiti Freeman Mbowe, Katibu Mkuu Dr. Wilbroad Slaa, Naibu Katibu Zitto Kabwa na wabunge mbalimbali wa chama hicho.


Wakazi wa Manispaa ya Songea na maeneo ya jirani wakifuatilia mkutano wa Chadema katika vya viwanja vya shule ya msingi Kiburang'oma bila kuogopa jua kali.



Wakazi wa Manispaa ya Songea wakifuatilia mkutano wa hadhara kwa makini huku wengine wakifuatilia mkutano huo kupitia  madirisha ya madarasa ya shule ya msingi Kiburang'oma.







Dr. Slaa juu ya gari akisindikizwa na wananchi jioni sana baada ya mkutano kuisha mpaka Hotelini alikofikia kwa maandamano makubwa. Mambo makubwa yaliyozungumziwa katika mkutano huo ni masuara ya Katiba Mpya pamoja na masuala kupanda kwa gharama za maisha n.k. Hata hivyo, Mkoa wa Ruvuma ni wa sita tangu kuanza kwa maandamano yakuzunguka  nchi nzima kwa chama hicho na mkoa wa saba utakuwa ni mkoa wa Iringa.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...