Mbunge wa Jimbo la Peramiho katika Wilaya Songea vijijini mkoani Ruvuma, Mhe. Jenista Mhagama akifuatilia kwa umakini mkubwa mechi kati ya wafanyakazi wa misioni (Abasia Peramiho) na watumishi wa serikali jana wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani maarufu kama (MEI MOSI), yaliyofanyika katika viwanja vya Peramho. Wanaomfuatia ni Diwani wa Kata ya Peramiho, Izack Mwimba (katikati) pamoja na Dr. Bonus Mtega wa Hospitali ya Peramiho. Katika mechi hiyo Timu ya Abasia Peramiho iliichapa Timu ya watumishi wa serikali mabao 4-2. (PICHA: FRIDAY SIMBAYA)
“This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...
Comments