Skip to main content

TIMU YA MAJIMAJI YAPIGWA JEKI




HOSPITALI ya Peramiho, Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imetoa hundi ya shilingi milioni mbili kwa timu ya mpira ya Majimaji (Majimaji Sports Club) jana kwa lengo ya kuisaidia timu hiyo kufikia malengo yake ya kutafuta nafasi ya kucheza Ligi Kuu Bara mwakani.

Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dkt. Venance Mushi alisema kuwa hospitali yake kama sehemu kubwa ya jamii ya mkoa Ruvuma na mdau pia wa kuendeleza michezo yote, wameamua kuisaidia timu ya Majaimaji kiasi kidogo pesa, kwa lengo kuiwezasha timu hiyo kufanya vizuri mashindano ya ligi daraja la kwanza yanayoendelea hivi sasa iliweze kusonga mbele.


Alisema kuwa Peramiho ikiwa ni sehemu kubwa ya Mkoa wa Ruvuma hawanabudi kuisaidia timu yoyote ile kupanga ushindi na hatimaye kufikia malengo yake. 


Aidha, alisema kuwa Hospitali ya Peramiho imeamua kutoa msaada ya shilingi milioni mbili kwa timu ya mpira ya Majimaji ya ilikuwawezesha kutimishiza malengo yake pamoja na kutatua baadhi matatizo timu hiyo.


“ Hospitali ya Peramiho ikiwa sehemu kubwa ya Mkoa wetu wa Ruvuma na kama wadau wa michezo tumeamua kutoa kiasi kidogo kuisaidia timu yetu ya majaimaji ili iweze kujiandaa vizuri katika mechi za ligi ya daraja la kwanza zilizobaki na hatimaye kufikia malego yake,“ alisema Dkt. Mushi. 

Hata hivyo, Timu ya Majimaji ya songea, mkoani Ruvuma (Majimaji Sports Club) inayoendelea kushiriki Ligi ya Daraja ya Kwanza inayoendea nchini hivi sasa, kwa hiyo inahitaji msaada wa hali na mali iliweze kufanya vizuri katika mechi zilizobaki na hatimaye kupata nafasi ya kucheza Ligi Kuu Bara ya Vodacom (VPL) mwakani.

Naye Mwenyekiti wa Timu ya Mpira ya Majimaji mkoani Ruvuma, Humphrey Milanzi alitoa shukrani kwa hospitali ya Peramiho msaada wa pesa shilingi 2m/- na kuahidi kwa kwamba pesa hizo zitatumika vizuri kwa lengo la kusudio.


Alisema kuwa timu ya Majimaji kwa sasa inakabiliwa na ukata wa pesa pamoja na vifaa vya michezo, hivyo basi kwa wadau mbalimbali wa mkoa huu hawanabudi kuisaidia timu ili iweze kufanya vizuri pamoja na kuweze kutatua baadhi ya matatizo mbalimbali yanayoikabili klabu hiyo. 


Aliongeza kuwa pesa hiyo waliyopata kutoka Hospitali ya Peramiho wataitumia vizuri kwa kujiandaa na michezo iliyobaki na vilevile kutatatua matatizo mbalimbali ambayo timu hiyo ilikuwainabaliwa nayo wakati wa kiwa kambini.


“Tinaishukuru Hospitali ya Peramiho kwa msaada wao mkubwa na kugependa na wadau wengine pia waige mfano wa huu kwa kuisadia kwa vifaa na pesa ilituweze kuendelea klabu yetu majimaji iingie kwenye ‘Premier League’ ilikuwweza kuongoze kipato kwa Mkoa Ruvuma kwa ujumla,” aliseam mwenyekiti huyo wa timu ya majimaji.

“Ni jambo la busara sana kwa Hospitali ya Peramiho iliyofanya kusaidia timu yetu na tugeomba hata wadau wengi wa mkoa huu waweze kusaidia timu yetu, kwa sababu kufanya tuleta malengo kwa mkoa wetu ukizingatia kwamba timu inapofanya vizuri italeta maendeleo pia kwa mkoa.”


Mwenyekiti wa Majimaji alitoa mfano kwamba, timu yake itakaposhiriki Ligi Kuu bara, mechi nyingi zitachezwa hapa mkoani na wenye usafiri na hoteli mbalimali watafaidika kwa sababu wageni watafika kwa wingi na hatimaye kiongeza pato kwa mkoa.


Kwa upande wa Mwenyekiti FARU (Football Association of Ruvuma), Golden Sanga alimshukuru sana Mkuu wa Wilaya ya Songea , Joseph Mkilikiti kwa jitihada zake kuwaunganisha na Hospitali ya Peramiho na hatimaye kupata msaada huu wa pesa.



“Tunamshukuru sana mkuu wa wilaya, tuaishukuru Hospitali ya Peramiho na mimi kama mwenyekiti wa FARU na mimi pia katibu saidia timu ya majimaji…” aliongeza Sanga.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...