(L-R) Mohamed Mchele mdau, M/kiti - UWABIMASO Karim Ismail na Shekhe Abdullah Hamidu (Kitete) ambaye in shekhe wa Wilaya ya Songea mjini wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa mkutano wa
wadau wa habari ulioendeshwa na Chama cha waandishi wa habari mkoa wa
Ruvuma (RPC) kwa ufadhili ya Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari
nchini (UTPC),uliyofanyika Ukumbi wa Majengo SACCOS Mitumbani Songea
mijini.
Mwenyekiti wa Umoja wafanyabiashara Manispaa ya Songea (UWABIMASO) Karim Ismail Matumca akifuatilia mada mbalimbali wakati wa mkutano wa wadau wa habari ulioendeshwa na Chama cha waandishi wa habari mkoa wa Ruvuma (RPC) kwa ufadhili ya Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari nchini (UTPC),uliyofanyika Ukumbi wa Majengo SACCOS Mitumbani Songea mijini.

Comments