Skip to main content

MAANDAMANO YA AMANI KUPINGA MAUAJI YA TEMBO NA FARU IRINGA


 Maandamano ya amani ya kupinga mauaji ya tembe na faru kutoka Benki ya Barclays hadi viwanja vya Mwembetogwa katika Manispaa ya Iringa leo.



 Mbunge wa iringa mjini Mch. Peter Msigwa ambaye pia waziri kivuli wa maliasili na utalii akipaza sauti kuhusu mauaji wa tembo na faru wakati wakuadhimisha siku ya kupinga uchangili duniani na kuiomba serikali iwekeze nguvu zaidi kuwalinda wanyama hawa ambao wako hatarini kutoweka. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)


Kutoka kushoto ni mratibu wa SPANEST, Godwell Meing'ataki, kaimu mkuu wa mkoa wa Iringa Adam Swai na Mbunge wa Iringa mjini mch. Peter Msigwa akipata burudani kutoka kikundi cha sarakasi wakati wa maadhimisho ya kupinga mauaji ya tembo na faru duniani leo katika viwanja vya Mwembetogwa. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)



Kaimu mkuu wa mkoa wa iringa, Adam Swai, ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea na wakazi wa manispaa ya iringa katika maadhimisho ya kupinga mauaji ya tembo na faru na kuviomba vijiji vinavyopakana na hifadhi kuhakikisha wanawekeza nguvu ya kuwalinda wanyama hawa ambao wako hatarini kutoweka. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)




By Friday Simbaya, Iringa

On October 4th people in cities throughout the world will march as one voice to save Elephants and Rhinos. The countdown to their extinction has begun.
Unless action is taken now, we will lose these majestic, highly intelligent, and emotionally sentient creatures FOREVER.
More than 35,000 elephants are being killed every year so their tusks can be carved into ivory trinkets. A rhino is slaughtered once every 9-11 hours for its horn. Their only hope for survival lies in an immediate end to the ivory and rhino horn trade (both "legal" and "illegal") and the chance to recover from decades of mass slaughter.

Please join the global march to call for an end to the killing and a ban on ivory and rhino horn before it's too late. Email us at march4elesandrhinos@gmail.com with any questions.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...