Skip to main content

NHC yatumia zaidi ya shilingi milioni 700 kusaidia miradi








Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limetumia jumla ya shilingi milioni 731,360,000/=kusaidia miradi ya vijana ya kufyatua tofali nchini.



Hayo yameelezwa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano wa NHC, Bi Suzan Omari wakati wa Kikao kazi cha MaafisaVijana kilichofanyika hivi karibuni mkoaniTabora.


Bibi Suzan amefafanua kuwa fedha hizo zinahusisha ununuzi wa mashine uliyogharimu shilingi 297,000,000/=, mafunzo ya wakufunzi yaliyogharimu shilingi 47,000,000/= na uwezeshaji mtaji wa kuanzia kazi za vikundi vya vijana kufyatua matofali shilingi 81,500,000/=.


Ameongeza kuwa matumizi mengine kuwa ni usambazaji wa mashine uliyogharimu shilingi 30,000,000/=, uhakiki wa ubora wa mashine uliofanywa na wataalamu kutoka VETA shilingi 6,400,000/=, fedha za kununulia vifaa vya mafunzo katika kila halmashauri vilivyogharimu shilingi 130,400,000 na posho ya wakufunzi wa VETA ni shilingi 139,060,000/=.


Bi Suzan amewataka vijana kote nchini kutumia fursa hii kwaajli ya maendeleo yao ikiwemo na kuondokana na tatizo la kukukosa ajira. 

Amayetaka mashirka  mengine nchini kuiga mfano wa NHC ili kunusuru nguvu kazi hii kubwa.


Kwa upande mwingine, Meneja wa Huduma kwaJamii wa NHC, Bw, Muungano Saguya amesema kuwa wadau zikiwemo Halmashauri, Maafisa Vijana wa Mikoa na wilaya kwa kushirkiiana na mamameneja wa mikoa wa NHC wathamini mradi huu kwa kufuatilia ufanisi wake ili mradi huo uwe endelevu.


Ameongeza kuwa mradi ukiwa endelevu na kusaidia kupunguza tatizo la ajira kwa vijana, bajeti itaongezeka kwa mwaka wa fedha ujao ilikusaidia zaidi mradi huo kwa vijana.


Naye Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Tabora, Bw. Erasto Chilambo amesema maafisa vijana wa waunganishe vijana katika vikundi il iwatumie fursa hii kujiendeleza na kuacha kubweteka na kulalamika kwa kukosa ajira.


Aliongeza kuwa vijana wasiwe sehemu ya tatizo la ajira bali wawe watatuzi wa changamoto inayowakabili ya kukosa ajira.


Kikaohikinikikao cha kuwa kumbusha maafisa vijana majukumu yao kuwasaidia kupata uzoefu toka kwa wenzao. 

Kimeandaliwa naWizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...