Skip to main content

KINYWAJI CHA SHUDA COCKTAILS CHAZINDULIWA JIJINI DAR

Kampuni ya A&K HOLDINGS LTD mwishoni mwa wiki iliyopita ilizinduz kinyaji cha Shuda Cocktails hafla iliyofanyika Novemba 1, 2014 katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, kinywaji hicho kimetengenezwa kwa ufanisi na kuchanganywa katika vipimo maalum ili kupata bidhaa zenye ladha nzuri zinazolenga na kukubalika na matabaka yote ya wanywaji au watuamiaji wa vileo. Ujazo wake ni 700ml. Bidhaa hii inazalishwa nchini Uingereza.

Meneja Masoko ya Kinywaji cha Shuda Cocktails, Bernadetha Daudi akiongea katika uzinduzi wa kinywaji huo mwishoni mwa wiki iliyopita Nobemba 1, 2014 katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Kampuni ya A&K HOLDINGS LTD ambao ni wasambazaji wa kinywaji cha Shuda Cocktails akiongea katika uzinduzi wa kinywaji hicho, halfa iliyofanyika  mwishoni mwa wiki iliyopita Novemba 1, 2014 katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Shuda Cocktails zipo katika ladha nne kwa sasa: Woo Woo, Pina Colada, Mojito na On the Beach. bei ya rejareja ni Tsh 12,000 kwa chupa.
Mabinti waliokipamba kinywaji cha Shuda Cocktails.
Balozi wa Kinywaji hicho, Lemtuz akiwa na mabinti wakikipamba kinywaji cha Shuda Cocktails.

Kwa sasa zinapatikana katika supermarket zote hapa Dar es salaam, kumbi za starehe na bar kwenye kila kiunga cha Dar es salaam. Hivi karibuni, Shuda Cocktails zitapatikana mikoani pia.
Ofisi zetu zipo Masaki, Kahama Rd mkabala na Mafian Lounge ya zamani.

Ili kupata maelezo zaidi kuhusiana na shuda Cocktails tembelea tovuti yetu www.shudacocktails.tz.co na facebook kupitia Shuda Cocktails Tanzania
Tunapatikana pia kupitia namba +255 717923963 na 0717 528216.

Kila aina ya Shuda ina viungo tofauti kama ifuatavyo:
Shuda Woo Woo; Cranberry juice, peach schnapps and Vodka
Shuda PinaColada: Pineapple juice, banana, Coconut milk and rum
Shuda On the Beach: Peach schnapps, orange juice, vodka
Shuda Mojito; Lime juice, club soda, mint and rum
Furaha ya kinywaji cha Shuda Cocktails.
Marafiki walipokutana pamoja.
Wageni waalikwa waliohudhuria uzinduzi wa kinywaji cha Shuda Cocktails.
Wengine waliamua kuweka kumbukumbu.
Bongo movie nao walikuwepo.
Ukodak ulihusika toka #KajunasonStudio ya Kajunason Blog.
Mtaalam King Maluu akionyesha umahili wake wa kuitandika mdomo wa bata.
Kila mmoja alitaka kupiga picha na Msanii Diamond Platinumz.
Haya mimi pia Mmiliki wa Kajunason Blog niliweza kupata ukodak na Msanii Diamond.
Warembo nao walikuwepo kushuhudia uzinduzi huo.
Khadija Mwanamboka na Shamim Mwasha nao waliwakilisha.
Warembo wakifurahia ukodak toka #KajunasonStudio ya Kajunason Blog. Picha zote na Cathbert wa Kajunason Blog.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...