MMOJA ya wakazi wa Kitongoji
cha Mpwapwa, Kijiji cha Kihanga katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa akinawa
mikono kwa sabuni kutoka kwenye kibuyu mchirizi. Kitongoji hicho kimefikia
hatua ya kutangazwa kuwa kitongoji kisichotupa kinyesi ovyo (Open Defecation
Free Sub- village) na kuzawadiwa vifaa vya ujenzi (bati 10 na saruji mifuko 8) vyenye
thamani ya laki tatu. Awali timu wa wataalamu toka sekretarieti ya mkoa pamoja
na timu ya wataalamu kutoka halmashauri zote katika mkoa zilifanya ziara ya
mafunzo katika maeneo mbalimbali yanayofanya vizuri katika uboreshaji wa huduma
za maji, afya na usafi wa mazingira. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)
“This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

Comments