Skip to main content

UTATA WAENDELEA KUJITOKEZA NANI ATAKUWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA IRINGA MJI







  fredrick mwakalebela akizungumza na waandishi wa habari

 mwanahabari frank kibiki, aliyewahi kuwa
katibu wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (uvccm) ngazi ya wilaya kwa
zaidi ya miaka 10 na ambaye ni mjumbe wa nec.


 fredrick mwakalebela akiwa na rais wa jamhuri ya muungano ya tanzania.

na mwanahabari wetu fredy mgunda,iringa.

wananchi na
wananchama wa chama cha mapinduzi (ccm)wa manispaa ya iringa wameendelea
na  sitofaham na ni mtu sahihi wa
kugombea jimbo la iringa mjini kutokana na wagombea wengi kujitokeza katika
harakati hizo.










wakizun
gumza kwa nyakati tofauti wananchi na wanachama hao wamesemakuwa kuna watu
ambao tayari wamejijengea majini katika harakati hizo ambao na jesca
msambatvangu,fredrick mwakalebela na mahamood madenge wote wanasadikika kuingia
kwenye kinyang’anyilo hicho.









ila mwanahabari frank kibiki, aliyewahi kuwa
katibu wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (uvccm) ngazi ya wilaya kwa
zaidi ya miaka 10 na ambaye ni mjumbe wa nec ameonekana kuvurunga kabisa plani
za wanachama kutokana na kuoneka ni kiongozi anayefaa kuigwa na kila lika
inayomzunguka.









wakizunguza
kwa nyakati tofauti wanachama wa chama cha mapinduzi wamesema kuwa frank kibiki
ndiye mtu pekee anayeweza kureta upinzani kwa mbunge wa jimbo hili mchungaji
peter msigwa kutokana na kujiamini kwake.









wameongeza
kwa kusema kuwa  frank kibiki anaushawishi
mkubwa kwa jamii tofauti na na watu wengine wanaopanga kugombea jimbo hilo kwa
sababu anasiasa safi na sera ambazo zinatekelezeka  kulingana na mazingara ya wananchi wa
manispaa ya iringa.














pia waliongeza kuwa wananchi
wanahamu ya kumfahamu frank kibiki kutokana na jina lake kukua kwa ghafla na
kuwaguza wanachi wengi hivyo inapelekea siku hadi siku kumtafuta na kutaka
kumjua yeye ni nani na anafanya nini.









walimalizia kwa kusema kuwa kibiki
ni mtu pekee ambaye anaweza kuwaweka wanachama cha mapinduzi pamoja kutokana na
kutokuwa na kundi hata moja ndani ya chama tofauti na wagombea wanaotarajiwa
kugombea jimbo hili.









kwa upande wake katibu wa ccm mkoani
iringa hassani mtenga alisema ipo siku kwenye kura za maoni watu watazimia hii
ni kutokana na baadhi ya watu nwanaotarajia kugombea jimbo hili wamekuwa
wakitumia pesa nyingi kuwaonga wananchi ili wamchague na akasisitiza kuwa
uongozi sio pesa uongozi ni kipaji na uwezo wa mtu binafsi aliopewa na mungu.


































Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...