Mwenyekiti wa kikao cha kikosi kazi cha ufuatiliaji wa utekelezaji wa sheria ya mizani na vipimo mwaka 1982, Eng. Awariywa Nnko akiendesha kikao hicho leo katika ukumbi wa IREBUCO Iringa mjini. TCCIA kwa kushirikiana na BEST-Dialogue inatekeleza mradi wa ufuatiliaji wa utekelezaji wa sheria ya mizani na vipimo namba 20 ya mwaka 1982. Mradi huu unahusisha sekta ya umma na binafsi pamoja na vyombo vya habari katika mikoa ya Iringa na Njombe.
“This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...




Comments