Skip to main content

PROFESA MARK MWANDOSYA AENDELEA KUSAKA WADHAMINI MKOANI IRINGA

Waziri na Mbunge wa Rungwe Mashariki, Profsea Mark James Mwandosya akisalimiana na wanachama na wadhamini baada ya kutoka katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Wilaya ya Iringa Vijijini leo.

 


Waziri na Mbunge wa Rungwe Mashariki, Profsea Mark James Mwandosya akiondoka kutoka katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Wilaya ya Iringa Vijijini leo baada ya kupata wadhamini na kuelekea Uwanja wa ndege Nduli kwa ajili ya safari ya kwnda mkoani Tabora.


Katibu Msaidizi wa CCM Wilaya ya Iringa Vijijini, Hakimu Jackson (kushoto) akimkabidhi fomu ya majina ya wadhamini Waziri na Mbunge wa Rungwe Mashariki, Profsea Mark James Mwandosya katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Wilaya ya Iringa Vijijini leo. (Picha Na Friday Simbaya)




Waziri na Mbunge wa Rungwe Mashariki, Profsea Mark James Mwandosya aendelea kusaka wadhamini mkoani Iringa ili apewe ridhaa ya kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

Profesa Mwandosya alisema kuwa endapo atapata bahati ya kupeperusha bendera ya chama chake katika mbio za kuwania urais mwaka huu na kufanyikiwa kushinda urais, atahakikisha elimu afya, ajira kwa vjiana inaboreshwa pamoja na kuboresha huduma za afya kwa wazee.

Profesa Mwanadosya ambaye aliongozana na mke wake Mama Lucy Mwandosya wafika tangu juzi mjini Iringa kusaka wadhamini pamoja na kuongea nao.

Wadhimini waliotoka sehemu mbalimbali walifika katika ofisi kuu ya CCM Wilaya ya Iringa Vijijijni ambapo hata hivyo alipata wadhamini zaidi ya 36 katika mbio za kusaka urais.

Profesa Mawandosya pamoja timu yake wameondoka nkoani Iringa kuelekea mkoani Tabora kuenelea na kazi ya kutafuta wadhamini baada ya kuzunguka zaidi ya mikoa mitano mpaka sasa.


Idadi ya wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inazidi kuongezeka na kwa sasa kufikia wagombea 36.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...