Skip to main content

WADAU WA MODEWJI BLOG WAJUMUIKA KUSHEREHEKEA MIAKA 7 YA MTANDAO HUO


Mdau wa modewjiblog, Ray the hustler (kushoto) aliyeambatana ndugu zake kutembelea banda la Modewjiblog katika picha ya pamoja na Mwandishi wa habari mwandamizi wa mtandao wa Modewjiblog, Andrew Chale.

Na Modewjiblog team

Shamra shamra za miaka Saba za mtandao wa habari nchini wa Modewji blog tayari zimeanza kurindima ndani ya banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza jana kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.

Wadau mbalimbali wanaoperuzi mtandao wa modewji blog wamekuwa wakimiminika kujionea utendaji wa kazi zinazofanywa na mtandao huu pamoja na kupata picha za pamoja ikiwemo ‘selfie’ ambazo zinakuwa zinarushwa moja kwa moja katika blog na mitandao mingine ya kijamii ikiwemo facebook, twitter na Instagram.

Pia wadu na watu mbalimbali wanakaribishwa kutoa maoni yao namna ya kuboresha zaidi huduma zetu. 

Hata hivyo, kwa mujibu wa Meneja mwendeshaji Mkuu wa modewji blog, Zainul Mzige aliweza kutoa punguzo maalum la hofa kwa watu mbalimbali kujitokeza kutangaza na mo dewji blog katika msimu huu wa maonyesho ya Saba saba.

Punguzo hilo ni maalum na litadumu kwa muda wote wa kipindi cha Saba Saba pekee.

Kwa matangazo na maelezo zaidi wasiliana nasi kwa barua pepe : info@modewjiblog.com au zainul@modewjiblog.com


Afisa Masoko wa taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha, (UTT-PID), Kilave Atenaka (katikati) pamoja na Afisa kutoka taasisi hiyo Beatrice Ngode waki-show love na T-shirts za modewjiblog walizokabidhiwa walipotembelea banda la modewjiblog na kujionea shughuli mbalimbali za utendaji kazi wa mtandao huo katika shamra shamra za kusheherekea miaka 7 mtandao huo tangu ulipoanzishwa. Kulia ni Mwandishi wa mwandamizi wa modewjiblog, Andrew Chale.


Mdau wa Modewjiblog, Bw. Geofrey Tupper (kushoto) akipokea fulana kutoka kwa Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa modewjiblog, Andrew Chale mara baada ya kutembelea banda lao katika maonyesho ya saba saba yaliyoanza kutimua vumbi jana jijini Dar es Salaam.


Mbunifu wa mavazi nchini Ally Rehmtulah (wa pili kushoto) akipata picha ya kumbukumbu na team ya modewjiblog pamoja na mdau wa kampuni ya vifaa vya ki-elektoniki ya LG katika aliptembelea letu katika banda la maonyesho ya saba saba yalioanza kutimu vumbi jana jijini Dar es Salaam.


Maafisa wa tasisi ya UTT-PID waki-show love na kofia pamoja na T-shirts za modewjiblog mara baada ta kutembelea banda hilo kwenye maonyesho ya saba saba.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...