Skip to main content

SHAMRASHAMRA ZA MANUNUZI YA BIDHAA KATIKA BANDA LA MeTL GROUP MAONYESHO YA SABASABA


Ofisa Mtendaji wa Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack, akisikiliza maoni kutoka kwa mmoja wa wananchi aliyetembelea banda la Kampuni ya MO Assurance lililopo ndani ya banda la MeTL Group katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea kutimua vumbi kwenye viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.


Meneja mwendeshaji wa Kampuni ya bima ya MO, (MO ASSURANCE), Ravinshankar Venkatrama (kulia) akifurahi jambo na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Makampuni ya MeTL Group, Hussein Dewji alipotembelea banda la MO Assurance kwenye maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea kutimu vumbi jijini Dar.


Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Makampuni ya MeTL Group, Hussein Dewji, akipata maelezo kutoka kwa kijana anayetoa huduma kwenye bidhaa za Sundries zinazotengenezwa na kampuni ya MeTL Group. Kulia ni msimamizi wa duka la bidhaa za Sundries, Sandeep Gaur alipotembelea maonyesho ya Sabasaba.


Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Makampuni ya MeTL Group, Hussein Dewji, akisalimiana Meneja wa LG tawi la Nkurumah, Bw. Yasin Lodhi (wa pili kulia) alipowasili kwenye banda la bidhaa za LG ambapo kampuni ya Mohammed Enterprises Limited Tanzania (MeTL) ndio msambazaji rasmi wa bidhaa hizo nchini.


Mfanyakazi wa kampuni ya 21st Century Textiles Ltd, Hidaya Kapera akitoa ufafanuzi kwa wateja waliotembelea banda hilo linalouza vitenge vya aina mbali mbali kutoka kampuni za Afritex Ltd, Musoma Textiles Ltd na Novatexmoque ambazo zote ziko chini ya MeTL GROUP.






Mfanyakazi wa kampuni ya 21st Century Textiles Ltd, Regina Waitara, akielezea ubora wa vitenge na mashuka yanayozalishwa na kampuni hiyo kwa mmoja wa wateja aliyetembelea banda hilo.


Balozi wa bidhaa za LG, Albert Laurent akitoa maelezo ya bidhaa za LG ambazo zipo katika punguzo la bei la 15% katika msimu huu wa maonyesho ya Sabasaba na mwezi mzima wa Ramadhan kwa wateja waliotembelea banda hilo ndani ya viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere.


Wananchi wakijipatia huduma ya vinywaji baridi vya MO vikiwemo MO Cola, MO Portello, MO Embe, MO Chungwa sambamba na kinywaji cha MO BOMBA kinachokuburudisha na kukupa nguvu wakati wote.


Wateja wakiwa wamefurika kujipatia bidhaa za sabuni katika banda la bidhaa za kampuni ya Royal Soap & Detergent Industries Limited lililopo ndani ya banda la MeTL Group.


Mfanyakazi wa kampuni ya Royal Soap & Detergent Industries Limited, Saumu Hamza, akionyesha bidhaa tofauti za sabuni za unga zinazopatikana katika banda hilo.


Wateja wakifurahia sabuni za wa kampuni ya Royal Soap & Detergent Industries Limited.


Wafanyakazi wa kampuni ya Sundries chini ya MeTL Group, Shomu Bhergava (kushoto) na Sandeep Gaur (kulia) wakitoa maelezo kwa mteja alitembelea banda lao katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere, barabara Kilwa, jijini Dar es Salaam.


Balozi wa bidhaa za LG, Balbina Gabriel akimwonyesha mteja bidhaa ya Microwave ya kampuni ya LG aliyetembelea katika banda la MeTL Group kwenye maonyesho ya sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.







Mdhibiti ubora idara ya sabuni za kampuni ya MeTL GROUP, Cuthbert Sangiwa Msuya akitoa maelezo kwa mmoja wa wananchi juu ya ubora wa mafuta ya kulainisha ngozi (Lotion) inayoyazilishwa na kampuni hiyo.



Wafanyakazi wa duka la vifaa vya LG lililopo ndani ya banda la MeTL Group katika picha ya pamoja na Msimamizi wa banda hilo Sakina Alloo (aliyepiga magoti).

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...