Skip to main content

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA IRINGA WAMPONGEZA KATIBU WA CCM IRINGA MJINI





katibu wa jimbo la iringa mjini ELISHA
MWAMPASHI






katibu wa jimbo la iringa mjini ELISHA
MWAMPASHI 


KEKI ILIYOKUWA IMEANDALIWA SIKU YA SHEREHE HIYO.



Baadhi ya wanachama wa chama cha mapinduzi tawi la chuo kikuu cha iringa zamani tumaini.


NA FREDY MGUNDA, IRINGA


Baadhi ya wanachama wa chama cha mapinduzi tawi la chuo kikuu cha iringa zamani tumaini wamefanya mahafari yao katika ukumbi wa chama hicho sabasaba.

Wakizungumza wakati wa sherehe hiyo wanafunzi hao wamesema
kuwa sas ccm italajia kurudisha jimbo la iringa mjini kwasababu tayari makatibu wa chama hicho wameweza kuwarudisha vijana kukipenda chama hicho.

Aidha wamesema kuwa chama hicho kilipoteza mvuto kwa vijana na vijana walipoteza mvuto na chama hicho,hivyo chama hicho kwa sasa kimerudisha imani kwa vijana na wanachama wengine.

“Sisi hapa chuoni kwetu tulikuwa wanachama wachache ila kwa sasa tupo wengi na kila siku wanachama wanazidi kuongezeka kutokana na kukipenda cha hicho kwa wakati huu tukielekea katika uchaguzi mkuu”walisema wanafunzi hao.

Mbunge wa jimbo hili kwa sasa mchungaji PETTER MSIGWA
ajiandae kuondoka kutoka na chama hicho kujipanga kila kona na tayari wamejihakikishia ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuongeza kuwa wananchi wa manispaa ya iringa wanapenda amani na sio vurugu.

Lakini walimpongeza katibu wa jimbo la iringa mjini ELISHA
MWAMPASHI kwa kufanya kazi nzuri iliyosababisha wananchi wa jimbo hili kurudisha imani na chama hichi na kuongeza kuwa MWAMPASHI ni kiongozi mzuri na anajua majukumu yake hivyo ni vizuri wananchi wa manispaa tukashikiana na jembe hili kulikomboa jimbo hili.

Kwa upande wake KATIBU WA JIMBO HILI ELISHA MWAMPASHE ambaye alikuwa mgeni rasmi katika sherehe hiyo aliwapongeza wanachama wa chama hicho tawi la tumaini kwa kukikuza chama hicho na kuongeza wanachama.

MWAMPASHI akawataka wanachama hao kukipigania chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao ili waweze kushinda kwa kishindo kikubwa na kuwaachawapinzani hoi.

“Tunanguvu na nia ya kufanya vizuri katika uchaguzi wa mwaka
huu kwa kuwa tumejipanga kili kona na tumerudisha inmani kwa wananchi wote hivyo kazi kwa sasa imekuwa rahisi hasa kulikomboa jimbo la iringa mjini ambalo walilikopesha kwa mpinzani”alisema MWAMPASHI.

Aidha MWAMPASHI aliwataka wananfunzi kuacha kufanya mambo ya kizinaa pindi wapatapo kazi kwa kudai kuwa anakura ujana ,akaongeza kuwa sasa ni wakati wa vijana kuwekeza katika biashara mbalimbali ili kujitengenezea maisha mazuri hapo baadae.

“Nawaomba jamani tusiwe na tamaa katika kutafuta maendeleo
kwa kuiba au kutoa na kupokea rushwa kwa kuwa hiyo njia sia sahihi kwani hapo mtakuwa mkirudisha maendeleo nyuma na sio
kuendelea kuleta maendeleo”.alisema MWAMPASHI.

Alimalizia kwa kumtaka mbuge wa jimbo hili kufungasha vitu vyake kwa kuwa muda wake umeisha na wananchi wa manispaa ya iringa wamemchoka kwa kuwa toka ameingia madarakani hakuna alichokifanya katka kuleta maendeleo ya jimbo hili zaidi kuanzisha migomo na vurugu katika sehemu mbalimbali.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...