Waandishi wa habari kutoka mikoa ya Iringa, Dodoma, Pwani na wenyeji Morogoro akiendelea na warsha ya namna ya kuripoti uchaguzi 2015 iliyoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) kwa kushirikiana na shiriki la BBC kupitia mradi wake wa Media Action inayofanyika mjini Morogoro. Katika semina hiyo waandishi wa habari wamepata mafunzo kuhusu mambo muhimu katika uchaguzi pamoja na vikwazo katika uchaguzi wa kidemokrasia. (Picha na Friday Simbaya)
“This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

Comments