Skip to main content

A+E NETWORKS(R) KURUSHA DOKUMENTARI YA OJ SIMPSON



Mkuu wa vipindi channel ya A & E Networks, Racheal Job akizungumza na waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice nchini Mauritius. Katikati ni Mkurugenzi wa Kanda channel ya A & E Networks, Anthea Petersen na kushoto ni Mkuu wa Mawasiliano channel ya A & E Networks, Sarah Williams-Robbins.



Mkuu wa Mawasiliano channel ya A & E Networks, Sarah Williams-Robbins akifafanua jambo kwenye jukwaa lililowakutanisha waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi mbalimbali za Afrika nchini Mauritius.



Ebenezer Donkoh kutoka YFM Ghana akiuliza swali katika mkutano wa waandishi wa habari ulionadaliwa na MultiChoice Africa.



Philip Mwaniki kutoka Nairobi, Kenya akiuliza swali kwenye jukwaa hilo lililowakutanisha waandishi wa habari kutoka nchi mbalimbali za Afrika.



Pichani juu na chini ni baadhi ya waandishi wa habari kutoka nchi za Afrika waliohudhuria wanaohudhuria kongamano hilo linalotarajiwa kumalizika leo nchini Mauritius.



Na Mwandishi Wetu

DOKUMENTARI inayomhusu mmoja wa masupastaa ambaye kadhia yake ya mauaji ilitagazwa sana OJ Simpson itarushwa na na chaneli ya uhalifu na uhunguzi ya A and E Networks Oktoba mwaka huu.

Dokumentari hiyo inatolewa katika siku ya kumbukumbu ya miaka 20 ya hukumu ya moja ya kesi iliyoandikwa sana na vyombo vya habari vya Marekani.

Doukumentari ya kwanza ya The Secret Tapes of the O.J. Case: The Untold Story (itarushwa Oktoba 6, saa 21) na O.J. Speaks: The Hidden Tapes (itakayorushwa Oktoba 13 saa 21).

Dokumentari hizo zimesheheni mambo ambayo hayajajulikana kwa watu ambayo yalizungumzwa na OJ Simpson na wengine waliohusika katika tuhuma za mauaji wakati wa shauri la jinai la la kiria.

Imeelezwa nchini Mauritius kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice kwamba dokumentari hizo ni zenye msisimko mkubwa katika msimu ujao wa A+E Networks.

Mkurugenzi wa A+E Networks wa Kanda ya Afrika, Anthea Petersen : “msimu huu A+E Networks inaringia kitu kikubwa kitakachoingia sokoni cha OJ Simpson kupitia dokumentari za uhalifu na uchunguzi ( CI).”

Petersen pia alisema kwamba hivi karibuni wamefungua ofisi ya A+E Networks’ jijini Johannesburg, Afrika Kusini.

Mkurugenzi huyo wa A+E Networks kanda ya Afrika amesema kwamba wanawekeza katika bara la Afrika kama chaneli bora ya burudani wakiwa na upenzi wa asilimia 50 katika robo ya kwanza.

Aidha anazungumzia ujio wa programu ya Lifetime kuanzia Oktoba 16 mwaka huu itakayokuwa hewani saa 2 na dakika 50.

Kuna programu inayokwenda kwa jina la Four Weddings SA ambayo kwa sasa ndiyo inayowika na ipo kila Ijumaa.

Pia kuna kitu kizuri ndani ya HISTORY ambayo imepata haki miliki ya kutangaza filamu isiyokuwa na skrpti ya Idris Elba: Mandela, My Dad & Me, baada ya kucheza Mandela: Long Walk to Freedom.

Pia kuna shoo ya Fifth Gear ndani ya chaneli ya HISTORY, huku wakiwa na vitu vya mvuto safi kabisa kuhusu barabara za Afrika Kusini.

Mambo mengine matamu ni kama Pawn Stars SA, ikiwa katika msimu wa pili ndani ya History ityakayoanza kuonekana mapema mwakani.





Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...