Skip to main content

MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA KAMPENI ZAKE ZAINGIA MKOA WA IRINGA



Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Mafinga kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika viwanja vya Wambi Mafinga ambapo aliwaambia wakazi hao wasihadaike na maneno ya kisiasa yanayotolewa na vyama vingine kuwa nchii hii haijapiga hatua wakati maendeleo yanaonekana wazi na nchi inazidi kusonga mbele.



Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati akihutubia wakazi wa Mafinga kwenye mkutano wa kampeni za CCM.


Mgombea ubunge wa Jimbo la Mafinga Cosato Chumi akihutubia wakazi wa mji huo wakati wa mkutano wa kampeni ambapo Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli alihutubia pia.


Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mafinga Cosato Chumi akisisitiza jambo wakati wa mkutano wa kampeni za CCM ambao ulihutubiwa pia na mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa alhaji Abdala Bulembo.


Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akionyesha kadi ya aliyekuwa kada wa Chadema Mafinga Gift Sikauka Mwachang'a aliyerudi CCM kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Wambi.


Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akimvisha kofia ya CCM aliyekuwa kada wa Chadema Mafinga Gift Sikauka Mwachang'a aliyerudi CCM kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Wambi.


Gift Sikauka Mwachang'a akitangaza rasmi kukihama chama cha Chadema na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano wa kampeni za CCM mbele ya mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.


Mafinga Gift Sikauka Mwachang'a akitangaza rasmi kuhama Chadema na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano wa kampeni za CCM mbele ya mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.


Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akizungumza mbele ya walemavu wa kusikia na kuona ambapo aliwakabidhi ilani ya uchaguzi ambayo imewazungumzia na kutaka wapewe msaada wa kuelimishwa masuala mbali mbali yalioandikwa kwenye ilani.


Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mufindi Kusini Ndugu Mahmoud Mgimwa akipiga push up mbele ya wakazi wa Mafinga waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni wa kumnadi mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...