Skip to main content

DKT BILALI AWEKA JIWA LA MSINGI MRADI WA VITUO VYA MAPUMZIKO KWA WASAFIRI NCHINI

Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali akiweka jiwe la msingi mradi wa vituo vya mapumziko na vyoo kwa wasafiri katika barabara kuu nchini katika hafla fupi iliyofanyika katika Kijiji cha Idetero wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana. 

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Generali Raphael Muhuga  kwa niaba ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Generali Davis Mwamuyange akisoma taarifa ya ujenzi wa mradi mbela ya Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali kabla ya kuweka jiwe la msingi mradi wa vituo vya mapumziko na vyoo kwa wasafiri katika barabara kuu nchini katika hafla fupi iliyofanyika katika Kijiji cha Idetero wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana. Mradi huo unatekelezwa na Mufindi Environmental Trust (MUET) kwa kushirikiana JKT. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)


Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali  akiwaaga wananchi wa Kijiji cha Idetero baada ya kuweka jiwe la msingi mradi wa vituo vya mapumziko na vyoo kwa wasafiri katika barabara kuu nchini katika hafla fupi iliyofanyika katika Kijiji cha Idetero wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana. 

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF) mstaafu Generali Robert Mboma ambaye pia ni mlezi taasisi ya Mufindi Environmental Trust (MUET) akitoa hotuba mbele ya Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali  wakati wa kuweka jiwe la msingi mradi wa vituo vya mapumziko na vyoo kwa wasafiri katika barabara kuu nchini katika hafla fupi iliyofanyika katika Kijiji cha Idetero wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana.

Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali  akipeana mkono na Mwenyekiti Mtendaji wa MUET, Godfrey Mosha (kulia) baada ya kukabidhiwa taarifa ya ujenzi mradi wa vituo vya mapumziko na vyoo kwa wasafiri katika barabara kuu nchini katika hafla fupi iliyofanyika katika Kijiji cha Idetero wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana.  Wanaoshuhudia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza (kushoto) na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Generali Raphael Muhuga jana.


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza akiongea na wananchi wa Kijiji cha Idetero wilayani Mufindi, mkoani Iringa.

Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali akisalimia na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Iringa alipowasili uwanja wa ndege wa Nduli jana kabla ya kwenda kuweka jiwe la msingi mradi wa vituo vya mapumziko na vyoo kwa wasafiri katika barabara kuu nchini katika hafla fupi iliyofanyika katika Kijiji cha Idetero wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana.

Mwenyekiti Mtendaji wa MUET, Godfrey Mosha akisoma taarifa ya ujenzi wa mradi wa vituo vya mapumziko na vyoo.




Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Idetero akifuatilia hafla hiyo (PICHA ZOTE NA FRIDAY SIMBAYA)

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...