Skip to main content

Mdahalo wa wagombea ubunge Jimbo la Iringa Mjini washindwa kufika mwisho...!


Msigwa

Mwakalebela

Kisinini

Masasi

Washiriki

washiriki

Viongozi wa vyama vilivyoshiriki

Waansdishi wa habari (Picha zote na Friday Simbaya)


Mdahalo wa wagombea ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini, jana ulishindwa kufikia tamati kutokana na wafuasi wa wagombea wa vyama hasa CCM na Chadema kuanzisha fujo zinazotokana na ushabiki.

Mdahalo huo ulianza saa 6:30 na ulikuwa umalizike saa 9:00 jioni lakini ulilazimika kumalizika saa 8:40 baada ya hali ya hewa kuchafuka kutokana na wafuasi wa Mgombea wa CCM Frederick Mwakalebela na wa Chadema Mchungaji Peter Msigwa kukamiana na kuanza kurushiana maneno ya kejeri na vijembe.

Hatua hiyo ilianza mara baada ya washiriki kutakiwa kuuliza maswali yanayolenga maendeleo ya wana Iringa wote bila kujali itikadi zao za vyama na ambayo yangejibiwa na wagombea wote sita wa ubunge katika jimbo hilo, lakini wafuasi wa vyama hivyo viwili hasimu hawakuzuia hisia zao kwa kuuliza maswali yanayolenga kumshambulia mgombea aidha wa Chadema au CCM na hivyo kuzua hali ya kuzozana.

Mdahalo huo ulikuwa umeandaliwa na Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa (IPC) kwa kushirikiana na Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari Tanzania (UTPC), ambapo Mwenyekiti wake Frank Leonard anasema malengo ya kuandaa mdahalo huo ni kutoa fursa kwa wananchi wa Iringa Mjini kusikiliza sera za wagombea wao na kuwauliza maswali namna watakavyotatua changamoto zinazowakabili wananchi. 

Pamoja na Msigwa na Mwakalebela wagombea wengine walioshiriki mdahalo huo Daud Masasi wa chama cha ADC na Robert Kisinini wa DP, huku Chiku Abwao wa ACT-Wazalendo na Paulina Mgimwa wa Chusta wakishindwa kushiriki.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...