Skip to main content

MFUMUKO WA BEI ZA BIDHAA MBALIMBALI WATIKISA SOKO KUU JIJINI MWANZA



Kwa takribani Wiki mbili sasa, Mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali kupanda katika Soko Kuu la Jijini Mwanza umeendelea kuwaliza watumiaji wa soko hilo.

Na George Binagi-GB Pazzo

Mfumuko huo unalalamikiwa na pande zote mbili kwa maana ya wauzaji na wanunuaji sokoni hapo, ambapo wameomba hatua za haraka kuchukuliwa ili kiweka mambo sawa.

Bei kwa nafaka zote sokoni hapo zimepanda bei hadi shilingi 1,000 kwa kila moja tofauti na hapo awali ambapo bidhaa iliyokuwa ikiuzwa shilingi 15,000 sasa inauzwa kati ya 2,000 hadi 2,500 ambapo steki ya nyama imepanda bei kutoka shilingi 5,000 hadi shilingi 8,000 huku nyama mchanganyiko ikiuzwa shilingi 6,000 kutoka 4,000 za awali.

Mwenyekiti wa Soko hilo Hamad Nchola amesema kuwa mfumuko huo umesababisha na mazao ya wakulima kupungua katika maghala yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo uhaba wa mavuno kutokana na ukosefu wa mvua katika msimu uliopita, pamoja na wafanyabiashara kutoingiza sokoni bidhaa katika kipindi cha uchaguzi mkuu, ambapo amewasihi wafanyabiashara kurejea katika mzunguko wao wa biashara kama kawaida hatua ambao itasaidia kukabiliana na mfumko huo wa bei.


Mmoja wa wafanyabiashara katika Soko Kuu Jijini Mwanza akieleza hali ya mfumuko wa bei ilivyo sokoni hapo


Mmoja wa wauzaji wa nyama katika Soko Kuu Jijini Mwanza akieleza hali ya mfumuko wa bei ilivyo sokoni hapo


Mmoja wa wauzaji wa nyama katika Soko Kuu Jijini Mwanza akieleza hali ya mfumuko wa bei ilivyo sokoni hapo


Bei ya Nyama imepanda bei maradufu


Mteja akiteta na mwanahabari juu ya mfumuko wa bei katika Soko Kuu la Jijini Mwanza


Shughuli za kibiashara katika Soko Kuu Jijini Mwanza zikiendelea


Mmoja wa akina mama wanaouza chakula Soko Kuu Jijini Mwanza anasema kuwa mfumuko huo wa bei umesababisha biashara zao kukamwa


Kushoto ni Mwenyekiti wa Soko Kuu Jijini Mwanza Hamad Ntola akizungumza na Mwanahabari ofisini kwake juu ya mfumuko wa bei katika Soko hilo


Binagi Media Group, Kwa Pamoja Tuijuze Jamii


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...