Skip to main content

TIGO YAUMWAGIA MILIONI 100 KUFANYIKISHA MTIKISIKO WA EBONY FM



Mkurugenzi wa Tigo wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusunudhamini wa tamasha la Mtikisiko ikiwa ni sehemu ya sera ya kampuni hiyo ya kusaidia makundi mbalimbali ya jamii wakiwemo vijana na wasanii. (Picha na Friday Simbaya)



Mwenyekiti wa waandaji wa tamasha la ‘mtikisiko’, kanda za nyanda za juu kusini,
Bon Zachariah ametoa wito jana kwa vijana waume kwa wake walio na vipaji vilivyojificha kujitokeza na kushiriki kwenye fursa hii ya nadra iliyoongia ukanda huu.

Alisema tamasha la mtikisiko linawataka vijana kujitokeza kushiriki tukio la mwezi mmoja ambalo linahusisha mikoa ya Iringa, Ruvuma, Njombe na Mbeya ambapo uzinduzi wake utakiwa mjini Songea.

“Tunatoa wito kwa vijana walio na vipaji vilivyojificha kujitokeza na kushiriki kwenye fursa hii ya nadra iliyongia kwenye ukanda huu. Inaweza kuwa ndio fursa yako ya kuwa nyota,”alisema Zachariah.

Alisema kuwa lengo kuu la tamasha ambalo ya la msimu kwa mwaka mara moja ni kurudisha fadhila kwa watu ambao walifanyakazi nao kwa mwaka mzima.

Zachariah alisema kuwa kuna makundi matatu ya watu ambao Ebony FM Entertainment wanarudisha fadhila hizo amabao ni wafanyabiashara na makampuni ambayo wamekuwa wakifanyakazi kama Tigo, wasikilizaji pamoja na wasanii ambao nyimbo zao zilikuwa zikitumika katika media mbalimbali.

Kupitia tamasha hilo mwenyekiti huyo alisema kuwa watatumia pia kusambaza ujumbe kwa vijana kuhusu maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa vile ukanda huu umeadhirika na ugonjwa huo

Alisema tamasha la mtikisiko lilianza mwaka 2007 ambapo wakati huo lilikuwa linaitwa ‘Together Time’ na kubadilisha jina lake mwaka 2008 na kuitwa ‘Mtikisiko’ mpaka sasa.

Tigo Tanzania kupitia huduma yake ya “Tigo Music” imedhamini tamasha la muziki liitwalo ‘Mtikisiko’ katika nyanda za juu kusini kama sehemu ya sera ya kampuni hiyo kusaidia makundi mbalimbali katika jamii wakiwemo vijana na wasanii kufikia ndoto zao za kimaisha.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamasha hilo Mkurugenzi wa Tigo Nyanda za Kuu Kusini, Jackson Gideon Kiswaga alisema kuwa kampuni yake imekuwa mstari wa mbele kuunga mkono vijana katika nyanja mbalimabli ili kuwawezesha kufikia ndoto zao katika teknoljia, michezo, muziki, elimu na mengine mengi.

“Udhamini huo wa Tigo wa shilingi milioni mia moja (100m/-) utajumlisha kuwasafirisha wasanii, kuwalipa posho, kujenga majukwaa pamoja na kuwalipa waandaji,”alisema Kiswaga.

Aliongeza kuwa Kampuni ya Tigo imekuwa mstari wa mbele katika kunyanyua maisha ya vijana na jamii kwa ujumla. 

Alisema kuwa kupitia msaada kwa wasanii, wameweza kuchangia kuibua nyota maarufa wa muziki wanaofahamika kama Ally Kiba, Diamond, Vanessa Mdee na wengineo.

“Tunaamini kwamba tamasha la mtikisiko litaenda mbali katika kuibua vipaji vipya amabvyo vitakuwa nyota wa baadaye, wazuri kushinda hata hao niliwataja,” alisema Kiswaga.

Tigo imetoa udhamini huo ilikuhakikisha kuwa tamasha la mtikisiko linasukika kwenye ukanda wote wa nyanda za juu kusini kwa kuwa ni tukio la mwezi mmoja ambalo litahusisha mikoa ya Iringa, Ruvuma, Njombe na Mbeya.

Kuanzishwa kwa Muziki wa Tigo (Tigo Music) nchini Tanzania kumetokana na mafanikio ya uzinduzi wake nchini Ghana mwaka 2014 na Amerika ya Kusini mwaka 2012. 

######################################################

By Friday Simbaya, Iringa


THE Chairman of the organizers of the festival of downturn called ‘Mtikisiko’ in the southern highlands regions, Bon Zachariah has appealed yesterday to the young men and women who have lie in wait emerging talent and to participate in this rare opportunity coming in this zone.

He called upon youth to participate in the festival which comes every year once and it is a one month event that brings together regions of Iringa, Ruvuma, Njombe and Mbeya.

The launching done in Songea Ruvuma Region and the closing of the event will be in Njombe Region but last year it was done Iringa Town, Iringa Region.

"We call on the youth and talent lurked in emerging and participates in this rare opportunity that is entering into this zone. It could be your opportunity to be the star, "said Zachariah.

He said that during the event they will also distribute messages of HIV and AIDS to youth as the regions in the southern highland zone were heavily affected with the pandemic. 

He said that the main purpose of the festival that the season of a year once it is restoring a courtesy to people who have worked with them throughout the year.

Zachariah said that there are three groups of people who Ebony Entertainment are repeats these virtues who are corporate companies that have been working together with like Tigo, the listeners and artists, whose their songs have been used in various media.
He said the ‘Mtikisiko’ festival began in 2007 and at that time was called "Together Time" and changed its name in 2008 and called ‘Mtikisiko’ until now.

Tigo Tanzania through its service "Tigo Music" has sponsored the music festival called ‘Mtikisiko’ in the southern highlands as part of the company's policy to support various social groups, including young people and artists to achieve their dreams in life.

Speaking at the launch of the festival yesterday, Zonal Director-South, Jackson Gideon Kiswaga said that his company has been in the forefront to support young people in all walks of life to enable them to achieve their dreams in technology, sports, music, education and much more.

"Tigo's sponsorship of one hundred million shillings will include the transporting of artists, to pay allowances, to pay for building platforms and also w the organizers," said Kiswaga.

He added that Tigo has been at the forefront in uplifting the lives of young people and society in general.

He said that through the assistance of artists, they can contribute visually to music stars that became known as Ally Kiba, Diamond, Vanessa Mdee and others.

"We believe that the festival is going a long way in the discovering of new talents that will be stars of the future," said Kiswaga.

Tigo has provided sponsorship to the festival in order to ensure that the event is heard in the regions of the southern highlands will involve Iringa, Ruvuma, Njombe and Mbeya.

The introduction to the Tigo Music in Tanzania has been driven by the success of its launch in Ghana in 2014 and South America in 2012.
Ends

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...