Skip to main content

UJUMBE WA MKURUGENZI MKUU WA UNESCO KUHUSIANA NA SIKU YA SAYANSI YA DUNIANI





Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.

Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) Lenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa kupitia Mkurugenzi wake Mkuu limetoa ripoti ya ujumbe wake kuelekea siku ya Sayansi Duniani kwa amani inayotarajia kuadhimishwa leo hii Novemba 10, Duniani kote.

Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO , Bi Irina Bokova, katika ujumbe wake, juu ya maadhimisho ya leo ameweza kugusia mambo mbalimbali:

"Hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na Maendeleo imekuja miezi miwili baada ya makubaliano ya Agenda 2030 ya maendeleo endelevu.

Ajenda hii mpya inajumuisha maono mapya kwa binadamu, kwa dunia, kwa amani , kwa miaka 15 ijayo na sayansi inasimamia katika moyo wake kama kichocheo cha mageuzi chanya na maendeleo.

Serikali zote kwa ujumla zinatambua leo nguvu ya sayansi ya kutoa majibu muhimu kwa usimamizi mzuri wa maji, kwa ajili ya hifadhi na matumizi endelevu ya bahari, ulinzi wa mazingira na viumbe hai, ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na majanga, na kuendeleza uvumbuzi na kuondokana umaskini na kupunguza tofauti .

Kufanya haya, tunahitaji kuelewa wazi zaidi mazingira ya kimataifa ya sayansi na tunahitaji zana bora kufuatilia maendeleo .

Huu ndio umuhimu wa ripoti ya Sayansi ya UNESCO, inayotolewa kila miaka mitano, inayotoa mwenendo wa sayansi, teknolojia na uvumbuzi katika kila kanda.

Tutazindua toleo jipya katika Siku ya Sayansi Duniani kwa ajili Amani na Maendeleo 2015, kuonyesha mwelekeo wa sayansi, teknolojia na maendeleo kwa kila nchi katika ngazi zote za maendeleo. Kuongezeka kwa wasiwasi wa ukame, mafuriko, vimbunga na matukio mengine ya asili yamesababisha Serikali kupitisha mikakati katika ngazi za kitaifa na kikanda kulinda kilimo, kupunguza hatari ya maafa na kuongeza vyanzo vya kitaifa vya nishati.

Kuongezeka kwa uwekezaji katika sayansi huonyesha kutambuliwa zaidi haja ya kujenga jamii na uchumi wa kijani, kuleta mabadiliko katika sera na sheria ikiwa ni pamoja na maadili na tabia.

Maswali haya yatashughulikiwa katika mkutano ujao wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi ( COP21 ) utakaofanyika Paris mwezi ujao, wakati viongozi kutoka pande zote za dunia watakapokusanyika kupitisha mkataba mpya wa ushirikiano wa kimataifa wa kukabiliana na madhara ya mabadiliko ya tabia nchi.

Sayansi, teknolojia na ubunifu ni muhimu hapa, na ni lazima tufanye kila kitu kusaidia jamii zote duniani, kujenga na kubadilishana maarifa. Agenda ya 2030, pamoja na ajenda ya maamuzi ya Addis Ababa, imetoa wito kujenga sera imara za kitaifa za sayansi, teknolojia na ubunifu pamoja na mifumo, ili kuwezesha uhamishaji wa teknolojia na ubunifu, ambayo UNESCO imejizatiti kamilifu .

Huu ni ujumbe wa Ripoti ya Sayansi ya UNESCO na hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na Maendeleo. Nawakaribisha wote kujiunga na sisi katika kuuchukua huu ujumbe duniani kote na kujenga maisha bora ya baadaye kwa wote " Alimalizia Mkurugenzi Mkuu huyo.

Kwa habari zaidi ya ripoti hii inapatikana katika tovuti ya UNESCO ; http://www.unesco.org

Kwa maelezo zaidi unaweza pia kuwasiliana na Ofisi ya UNESCO iliyopo karibu nawe, na kwa Dar es Salaam kupitia: barua pepe: dar-es-salaam@unesco.org au tovuti: http://www.unescodar.or.tz na mawasiliano ya ofisi Simu ya Ofisi: +255 22 2915400

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...