Skip to main content

IAWRT YAZINDUA RIPOTI YA NAFASI YA MWANAMKE KATIKA VYOMBO VYA HABARI




Bi Razia Mwawanga kutoka IAWRT akifungua mkutano wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti kuhusu wanawake wanavyopewa nafasi hasa katika vyombo vya habari hasa hapa nchini.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja blog)




Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali nchini la International Association of Women in Radio and Television (IAWRT) Tanzania Bi. Rose Haji Mwalimu akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti kuhusu wanawake wanavyopewa nafasi hasa katika vyombo vya habari hasa hapa nchini


Mgeni rasmi Mkurugenzi wa TAMWA, Bi. Edda Sanga(kushoto) akiwahamasisha wanawake kuwa na uthubutu ili kuyafikia malengo waliyojiwekea na kutojiona hawawezi kisa wao ni watoto wa kike, kulia ni Mkurugenzi wa IAWRT Tanzania Bi. Rose Haji Mwalimu.




Mgeni rasmi Mkurugenzi wa TAMWA, Bi. Edda Sanga (kushoto) pamoja na Mkurugenzi washirika lisilo la kiserikali nchini la International Association of Women in Radio and Television (IAWRT) Tanzania Bi. Rose Haji Mwalimu wakizindua ripoti ya utafiti kuhusu mwanamke au mtoto wa kike anavyopewa nafasi hasa kwenye vyombo vya habari.











Wajumbe wa IAWRT wakiangalia moja ya filamu inayohusu nafasi ya mwanamke hasa katika jamii.







Wajumbe wa mkutano huo wakiendelea kutoa maoni yao kuhusu usawa wa kijinsia katika ngazi mbalimbali za maamuzi.





Picha ya pamoja.


Na Mwandishi wetu


Katika ripoti iliyotelewa awali na Shirika lisilo la kiserikali nchini la International Association of Women in Radio and Television Tanzania (IAWRT), imeonyesha kwamba wanawake au mtoto wa kike hapewi nafasi ya moja kwa moja katika kutoa taarifa au katika shughuli za kufanya maamuzi katika ngazi mbali mbali tofauti na watoto wa kiume au mwanaume.

Utafiti huo umebaini kwamba mbali na kutopewa mtoto wa kike nafasi ya kufanya maamuzi katika ngazi tofauti, ambapo wamesema inapelekea wanaume kupata kipato kikubwa zaidi ya wanawake.
 
Katika hafla hiyo mgeni rasmi alikuwa ni Mkurugenzi wa TAMWA, Bi. Edda Sanga, ambapo ameiomba serikali na vyombo vya habari kuwapa kipaumbele wanawake katika ngazi tofauti tofauti za uongozi ili kuweza kuondoa lile tabaka lililopo kati ya mwanamke na mwanaume, na pia inaweza kuchangia katika maendeleo na mabadiliko ya nchi kiujumla.

Aliongezea kwa kusisitizia kuwa wanawake wenyewe washirikiane na wajitume pale wanapopata fursa katika matukio, na pale wanapofanikiwa warudi kuja kusaidia kuinua wanawake wengine ambao bado hawajaweza kufika pale panapohitajika.
 
Akizungumza Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali nchini la International Association of Women in Radio and Television (IAWRT) Tanzania, Bi. Rose Haji Mwalimu alisema kwa wanawake inabidi wajitambue na pia wajue thamani zao katika jamii ili waweze kufikia malengo yao.

Hayo aliyasema wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti kuhusu Mwanamke au mtoto wa kike anavyopewa nafasi hasa kwenye vyombo vya habari ambapo ilionekana mtoto wa kike hapewi nafasi sawa na mtoto wa kiume.

Hii imekuwa ni changamoto hasa kwa nchi za Afrika kutomthamini mtoto wa kike.

Pia lisisitiza kuwa licha ya juhudi nyingi za wanahabari na taasisi za habari kuwainua wanawake na wasichana katika vyombo vya habari mathalani Radio bado juhudi zinakabiliana na changamoto kadhaa licha ya kuzaa matunda kwa sehemu ndogo na kupelekea mwanaume kuwa na nafasi kubwa katika vyombo hivyo.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...