Skip to main content

KIJIJI CHA LYAMKO CHA PATIWA HAKIMILIKI ZA KIMILA 350 KUTOKA TAASISI YA HAKIARDHI



Afisa Ardhi Mteule, Elinaza Kiswaga


Mkurugenzi Mtendaji wa HakiArdhi, Yefred Myenzi...





Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kilolo, Mejuzi Mgeveke,akigawa hati miliki za kimila.
Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kilolo, Mejuzi Mgeveke, ambaye alikuwa mgeni rasmi akiwa katika picha ya pamoja baada yakugawa hati miliki za kimila. (Picha zote Friday Simbaya)


KILOLO: Shirika linalojishughulisha na masuala ya ardhi nchini, HakiArdhi, limetoa hatimiliki za kimila 350 kwa wananchi wa kijiji cha Lyamko baada ya kupimiwa mashamba yao.

Akitoa taarifa fupi ya mradi wa hakiardhi, utawala na mabadiliko ya tabianchi jana Afisa Ardhi Mteule, Elinaza Kiswaga kuwa kijiji cha lyamko kimekuwa ni kijiji cha nane katika wilaya kilolo kupatiwa hati miliki za kimila tangu zoezi la upamaji mwaka 2013.

Alisema kuwa taasis ya HAKIARDHI ilianza kufanya kazi za utafiti wa awali mwaka 2012, na mwanzoni mwa mwaka 2013 taasisi hiyo kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya ya kilolo, ilianza rasmi kutoa mafunzo ya sheria ya ardhi na utawala vijijini.

Alisema kuwa lengo la mradi ulikuwa kutoa uelewa kwa jamii juu ya sheria ya ardhi, utawala vijijini na mabadiliko ya tabianchi hususani kwa wazalishaji wadogo.

Afisa ardhi mteule wa wilaya alifafanua kuwa taasisi hiyo ya HAKIARDHI ilitoa mafunzo ya sheria ya ardhi na utawala vijijini pamoja na na mabadiliko ya tabia nchi katika vijiji 55, kuandaa mipango ya matumizi ya ardhi kwa vijiji 11 ambavyo ni Kihesamgagao, Kidabaga, Kiwalamo, Kitelewasi, Kipaduka, Uhambingeto na Lugalo, Lyamko, Ibofwe, Itonya na Ilamba.

Naye mgeni rasmi wakati wa hafla ya ugawaji wa hati miliki za kimila Mejuzi Mgeveke, ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa halmashauri ya kilolo aliishukuri taasisi ya HAKIARDHI kwa kuendesha shughuli hizo katika wilaya ambazo zimeleta mafanikio makubwa.

Alisema kuwa ni dhahiri kuwa mafunzo hayo yamesaidia kuleta chachu ya mabadiliko kwa jamii ya wanakilolo katika ngazi zote hasa juu ya uelewa wa masuala ya ardhi, utawala bora na mabadiliko ya tabia nchi.

Nao wanakijiji cha Lyamko wamefurahi kwa kupimiwa mashamba yao ambapo wasaidia kupunguza migogoro ardhi.

Walisema haki ya kumiliki ardhi kwa wanawake imetambuliwa na imeanza kutekelzwa kwa vitendo.

Mkurugenzi Mtendaji wa HakiArdhi, Yefred Myenzi, alisema kuwa katika utekelezaji wa shughuli hizo kumekuwepo na mafanikio makubwa ambyo ameshuhudia vijiji 11 kuanadaliwa mipango ya matumizi bora ya ardhi, kiasi ambacho kimesadia kupunguza migogoro ya ardhi.

Alisema kuwa migogoro hiyo ni pamoja na inayotokana na mwingiliano wa matumizi na uhifadhi wa misitu asilia.

Taasisi ya HAKIARDHI imefanyikwa kufika vijiji 55 kati ya zaidi ya vijiji 106 vya wilaya ya kilolo na bado mwamko ni mkubwa kwa wananchi wa wialya hiyo kutakifiwa zoezi la upimaji mashamba.



Kwa mfano, katika kijiji cha Lyamko ililengwa kupima mashamba 350 lakini wananchi waliojitokeza kwa wingi kiasi cha kufikia wananchi 351 na wengine ilishindikana kupimiwa.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...