Skip to main content

MELI MPYA YA MV MAPINDUZI YAWASILI KATIKA BANDARI YA ZANZIBAR, IMETOKA KOREA





Meli Mpya ya MV Mapinduzi Ikiwasili katika Bandari ya Zanzibar Ikitokea Nchini Korea Ilikotengenezwa.


Meli Mpya ya MV Mapinduzi 2 ikiwasili Zanzibar ikitokea Nchini Korea

Meli Mpya ya MV Mapinduzi ikiwasili katika bandari ya Zanzibar ikitokea Nchini Korea baada ya kukamilika kwa Uundaji wake uliochukua miezi 18, ikiwa katika bahari ya Zanzibar ikielekea katika bandari kwa ajili ya ufungaji wa gati katika bandari ya Malindi Zanzibar.

Wananchi wa Zanzibar wakiipokea Meli yao Mpya ya MV Mapinduzo 2 wakiwa katika bustani ya Forodhani Zanzibar.

Wananchi wa Zanzibar wakichukua picha kupitia simu zao Meli Mpya ya MV Mapinduzi wakati ikiwasili Zanzibar katika bandari ya Zanzibar

Meli Mpya ya Mv Mapinduzi 2 ikiwa katika bahari ya Zanzibar.

Wananchi wa Zanzibar wakiwa katika bustani ya forodhani wakiipokea Meli yao Mpya ya MV Mapinduzi 2 ikiwasili Zanzibar ikitokea Nchini Korea ilioundwa meli hiyo.

Wananchi wa Zanzibar wakichukua picha kupitia simu zao Meli Mpya ya MV Mapinduzi wakati ikiwasili Zanzibar katika bandari ya Zanzibar, wakiwa katika bustani ya forodhani Zanzibar

Wananchi wakiwa katika Bandari Kuu ya Malindi Zanzibar wakiipokea Meli yao Mpya ya MV Mapinduzi ilipokuwa ikifunga gati katika bandari hiyo ya Zanzibar.

Wafanyakazi wa Shirika la Meli Zanzibar wakipiga picha Meli Mpya ya Mv Mapinduzi kupitia simu zao kwa ajili ya kumbukumbu kwa kuja kwa Meli hiyo Mpya.

MV Mapinduzi ikiwa katika Bandari ya Zanzibar ambayo ina uwezo wa kuchukua Abiria na Mizigo na Magari.

Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee akiwapungia mikono Wananchi waliofika katika Bandari ya Malindi Zanzibar ikifunga Gati akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Dk Juma Malik.

Mwananchi wa Zanzibar akiwa na simu yake baada ya kuchukua picha ya Meli ya Mv Mapinduzi 2 na kuwatumia Wananchi kupitia simu yake.




Wafanyakazi wa Shirika la Meli Zanzibar na wa Shirika la Bandari Zanzibar wakishangilia Meli Mpya ya MV Mapinduzi wakati ikiwasili katika bandari ya Malindi ikifunga Gati
Wafanyakazi wa Shirika la Meli Zanzibar na wa Shirika la Bandari Zanzibar wakishangilia Meli Mpya ya MV Mapinduzi wakati ikiwasili katika bandari ya Malindi ikifunga Gati


Wananchi wakiwa katika Bandari ya Zanzibar wakiipokea Meli ya Mv Mapinduzi 2 katika bandari ya Zanzibar.

Meli Mpya ya MV Mapinduzi 2 ikiwa katika bandari ya Malindi baada ya kufunga gati katika bandari hiyo ya Zanzibar.

Wafanyakazi wa Shirika la Mandari wakiwa katika Bandari ya Zanzibar wakipokea Meli Mpya ya Mv Mapinduzi 2

Waandishi wa habari wa Zanzibar na Viongozi wa Shirikala la Meli Zanzibar wakiwa katika Meli ya Mv Mapinduzi 2 wakitokea katika kisiwa cha Chumbe kuipokea meli hiyo ikitokea Nchini Korea ilikoundwa Meli hiyo. Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspot.
Zanzinews.com.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...