Skip to main content

BAADHI YA VIONGOZI WA MANISPAA YA IRINGA WAPANDA MITI KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA NDULI

 diwani wa kata ya nduli bashiri  mtove na mbunge wa jimbo la irirnga mjini mch. petter msigwa wakibalishana mawazo baada ya zoezi la upandaji wa miti katika shule ya sekondari ya nduli.
mkuu wa wilaya ya iringa richard kasesela akibanda mti katika shule ya sekondari  ya kihesha wakati wa kuadhimisha siku ya mazingira

 diwani wa kata ya mivingeni akibanda mti katika shule ya sekondari  ya kihesha wakati wa kuadhimisha siku ya mazingira

 mbunge wa jimbo la irirnga mjini mch. petter msigwa akibanda mti katika shule ya sekondari  ya kihesha wakati wa kuadhimisha siku ya mazingira
 diwani wa kata ya kihesa edger mgimwa akibanda mti katika shule ya sekondari  ya kihesha wakati wa kuadhimisha siku ya mazingira

  mbunge wa jimbo la irirnga mjini mch. petter msigwa akibanda mti katika shule ya sekondari  ya kihesha wakati wa kuadhimisha siku ya mazingira
 diwani wa kata ya isakalilo ambaye ndio meya wa halmashauri ya iringa alex kibe akinawa mikono baada ya kupanda mti katika shule ya sekondari ya nduli
 diwani wa kata ya kihesa edger mgimwa na diwani wa kata ya nduli bashiri  mtove wakinawa mikono baada ya kupanda miti katika shule ya sekondari ya nduli

na mwandishi wetu,iringa

viongozi wa manispaa ya iringa wamepanda miti zaidi ya elfu mbili miatatu(2300) katika shule ya sekondari ya nduli iliyopo kata ya nduli mkoani iringa.

mkuu wa wilaya ya iringa richard kasesela aliitumia fursa hiyo kuwaagiza viongozi wote wa wilaya ya iringa kutenga maeneo maalum ya kupanda miti kwa ajili ya watu wasiojiweza.  
Miti hiyo itachangia baadaye katika upatikanaji wa fedha za kuwasomesha watoto wa familia hizo. 

Vilevile mkuu wa wilaya ya iringa richard kasesela amezitaka halimashauri zote kustawisha miche ya kutosha na kuwapatia wananchi waipande kwa wingi kwa nia ya kuifanya miti kuwa zao maalum la uwekezaji katika wilaya hiyo. 
Hata hivyo mkuu wa wilaya ya iringa richard kasesela amewataka wanafunzi kuipalilia miti inapokuwa midogo, kuitunza kitaalam na kuilinda dhidi ya moto kichaa.
Naye mbunge wa jimbo la iringa mjini mch. Petter msigwa amewaomba walimu kuendelea kuwafundisha wanafunzi juu ya umuhimu wa miti na utunzaji wa mazingira kwa ujumla.
Bashiri mtove ni diwani wa kata ya nduli amewashukuru viongozi waliohudhuria tukio hilo la upandaji miti katia shule ya sekondari ya nduli na kuwaomba wanafunzi na wananchi waliojitokeza katika eneo hilo kuitunza na kuthamini miti walioipanda kwani ni hadhina ya miaka mingi ya baadae.
Kwa upande wake mkuu wa shule ya nduli amewapongeza viongozi wote waliohudhuria kupanda miti katka eneo hlo na kuwaahidi kuitunza miti hiyo na kuongeza miti mingine ili kuifanya shule hiyo kuwa mfano wa kuigwa kwa kuwa ya kijani muda wote.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...