Skip to main content

WATU 331 WAFARIKI DUNIA MKOANI MBEYA KWA AJALI ZA BARABARANI 2015




Jumla ya watu 331 wamepoteza maisha kutokana na ajali za barabarani mkoani Mbeya katika kipindi cha mwaka 2015 ikiwa ni ongezeka la vifo 27 ikilinganishwa na vifo 304 vilivyotokea mwaka 2014.

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Ahmed Msangi amesema ongezeko hilo la vifo linaenda sambamba na ongezeko la makosa ya usalama barabarani na idadi ya wahalifu wa makosa hayo.


Katika mahojiano maalumu na Kituo Star TV, Kamanda Msangi amesema mwaka 2014 jumla ya makosa 61,466 yamepatikana wakati mwaka jana makosa yalikuwa 76,346 ikiwa ni ongezeko la makosa 14,898 ambapo kati yake mwaka 2015 makosa 71, 429 na 54,849 ya mwaka 2014 kwa pamoja yametozwa adhabu zenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 3 na Milioni 203 ikiwa ni ongezeko la Shilingi Milioni 497.4 kwa tozo za mwaka 2014.

Kuhusu Pikipiki za miguu miwili na mitatu maarufu kama na Bajaji, Kamanda Msangi amesema ajali zake nazo zimeongezeka kutoka 141 mwaka 2014 mpaka 159 mwaka jana ambazo kwa pamoja zimesababisha vifo 162 na kujeruhi watu 231 na kwamba nyingi zimesababishwa na uzembe wa kukosa umakini kwa madereva.

Jiji la Mbeya lina pikipiki za miguu mitatu zaidi ya 2100 wakati pikipiki za miguu miwili ni zaidi ya 3000. CHANZO GPL

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...