Skip to main content

CFAO MOTORS YAFANYA ONYESHO LA BIASHARA YA MAGARI AINA YA SUZUKI

Kampuni ya uuzaji magari ya CFAO imefanya onyesho la kuonyesha bidhaa mpya walizonazo katika jengo la PSPF Golden Jubilee Tower lililopo Posta jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Modewji Blog, Meneja Masoko wa CFAO Motors, Sheikha Said amesema sababu ya kampuni hiyo kufanya onyesho katika jengo hilo ni kuwaonyesha wateja wa kampuni hiyo bidhaa mpya walizonazo katika sehemu zao wanazouzia magari (showroom).

Amebainisha kuwa, mbali na kuwaonyesha wateja lakini pia kuwaonyesha wafanyakazi na wananchi mbalimbali ambao walikuwa hawajui bidhaa zinazopatikana CFAO Motors au kwa wengine kuwa na shughuli nyingi hivyo kushindwa kufika katika 'showroom' zao na kupitia onyesho hilo wataweza kupata magari katika maeneo yao ya kazi.

“Tupo hapa kwa hili kuwasogezea huduma watu wa aina mbalimbali na wafanyakazi wa taasisi mbalimbali waone bidhaa tulizonazo,” alisema Bi. Said.

Nae Afisa Mauzo wa Suzuki, David Kritsos alisema kupitia onyesho hilo wananchi na wafanyakazi wa ofisi mbalimbali wanaweza kununua magari wanayopendelea na wanaweza kusaidiwa na CFAO Motors kupata mkopo benki ili waweze kupata fedha za kununua magari hayo na kulipa mkopo taratibu.

Alisema CFAO ndiyo kampuni pekee nchini yenye nafasi ya kusambaza bidhaa za Suzuki na magari yote wanayoyauza bado ni mapya yakiwa bado hayajatumika kabisa.

Showroom hiyo itaendelea hadi hapo 4 Februari. 

Moja ya Suzuki Grand Vitara magari ya CFAO yaliyopo kwenye maonyesho ya bidhaa mpya walizonazo katika jengo la PSPF Golden Jubilee Tower lililopo Posta jijini Dar es Salaam.

Gari hilo la Suzuki Vitara linavyoonekana kwa nyuma.

Gari hilo aina ya Suzuki Grand Vitara linavyoonekana ubavuni.

Moja ya Suzuki magari ya CFAO yaliyopo kwenye maonyesho ya bidhaa mpya walizonazo katika jengo la PSPF Golden Jubilee Tower lililopo Posta jijini Dar es Salaam.


Gari hilo la aina ya Suzuki linavyoonekana ubavuni..

Suzuki hiyo inavyookena upande wa nyuma.

Gari ndogo Suzuki OMNI inavyookena kwa mbele.

upande wa ndani unaogawa gari hilo la Suzuki ambao unaonesha upande wa dereva na upande ambao mtu anaweza kutumia kwa kuweka mizigo na mambo mengine.

upande wa nyuma wa ndaniu wa gari hilo aina Suzuki OMNI.

Magari hayo yanavyoonekana katika showroom hiyo ndani ya jengo la PSPF Golden Jubilee Towers.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...