Skip to main content

MBUNGE MAFINGA MJINI AINGILIA KATI MVUTANO WA WAMACHNIGA NA HALIMASHAURI



Mbunge wa jimbo la mafinga mjini Cosato Chumi akiwasikiliza wafanyabiasha wadogowadogo




wafanyabiasha wadogowadogo wakiwasikiliza Mbunge wa jimbo la mafinga mjini Cosato Chumi



NA FREDY MGUNDA,MAFINGA

Mvutano mkali kati ya wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) mjini mafinga mkoani Iringa na uongozi wa halimashauri hiyo umeendelea kufukuta baada ya wafanyabiashara hao kugomea kuondoka katika eneo hilo wakidai maslai ya watu wachache ndio yanayowahamisha katika eneo hilo jambo lilopelekea mbunge kuingilia kati .

Wakitoa kilio chao mbele ya mbunge wa mafinga mjini Cosato Chumi
wafanyabiashara hao walisema kuwa wamekuwa wakinyanyaswa kwa muda mrefu na halimashauri hiyo kwa kuhamishwa hamishwa kila kuikicha na kupelekwa maeneo ambayo siyo rafiki kwa biashara zao .

Mwenyekiti wa wafanyabiashara hao Glibet amoni alisema awali walikuwa wakifanyia biashara zao bembeni ya soko la mafinga Uwanja wa mashuja ) na badaye kuja kuhamishwa katika eneo hilo na kupelekwa katika eneo la Kinyanambo ambalo pia halifai kwa biashara kwa kuwa kipindi cha mvua vitu vyao huzama kwenye maji kwa kuwa eneo hilo huwa linasimamisha maji pindi mvua inyeshapo .

Alisema kuwa baada ya kuona eneo hilo linaharibu biashara zao
waliamua kurudi katika eneo lao la awali la mashuja na kuutaarifu uongozi wa halimashauri hiyo kuwa wamerejea katika eneo hilo lakini walifanya biashara kwa majuma mawili na baadaye kuja kutangaziwa kuondoka katika eneo hilo na kwenda katika soko jipya ambalo pia miundombinu yake haijakamilika na wali sio eneo la wamachinga 

Alisema kuwa walishanga kusikia matangazo ya barabarani kuwa
hakutakuwa na mnada katika eneo hilo siku ya jumapili na walipoenda siku hiyo
walikuta magari ya polisi yakiwa yametanda katika eneo hilo kuwazuiya kufanya biashara katika eneo hili jambo lilizodii kuwadhofisha kwa kuwa wengi wao nawamikopo katika maeneo mbalimbali na wanapaswa kurejesha mikopo hiyo

“Mh mbunge wewe ndio msaada wetu uliahidi kututetea sana tunaona kuna mambo ya siasa yanaingia hapa kwani huyu mwenyekiti wa halimashauri Charles Makoga anatulazimisha kwenda kule kwa kuwa yeye anavibanda vyake kule sokoni ndio mana analazimisha tupelekwe kule na tushanga kuja kututangazia kibabe na kuondolewa a na polisi kama vile ni majambazi wakati ushuru wao tunalipa na eneo huwa tunafanya usafi kwani wanatufanyia hivii au sisi sio watanzania ”

Waaliongeza kuwa wao siku yao ya kufanya biashara ni siku moja
tu ya wiki yani jumapili lakini wameshanga kuona ungozi wa halimashauri hiyo kwa kushirikiana na wafanyabiashara wachache wa soko kuu wanaolalamika kutokuza biadha zao pindi mnada huo unapofanyika katika eneo jambo ambalo siyo la kweli.

Akipokea kilio chao mbunge huyo wa mafinga mji Cosato chumi
awaliwata wafanyabiashara hao kuwa wavumilivu ili kuweza kwenda kuzungumza na uongozi wa halimashauri hiyo ili kuona ni sababu gani zilizopelekea wao kutolewa katika eneo hilo na kupelekwa soko jipya eneo ambalo limetegwa kwa ajili ya soko na wala sio kwa ajili yam nada wa siku moja .

Chumi alisema yeye kama mbunge Hata kubali kuona wananchi wake wananyanyaswa na watu wachache kwani yeye ni mbunge wa watu wote na wala hatakubali kuona watu wake wakipelekwa katika maeneo ambayo siyo rafiki kwa biashara 

‘’Kilio chenu nimekisikia na mimi nataka kukimbizana na kasi ya
magufuli ya kuwatetea wanyonge sioni sababu za msingi za nyie kuhamishiwa kule soko jipya wakati nyie huwa munafanya mnada siku moja tu hao wanaosema hawauzi kwanini wanakuwa wabinafsi hivyo ase yani wao wanauza siku sita nyie mnada wenu ni siku moja halafu eti wanasemna hawauzi mi niwambie waache ubinafsi na hili sitakubaliana nao ’’

Chumi alisema kuwa kimhesabu kupeleka mnada katika eneo hilo
lililojengwa kwa kwa ajili ya soko ni kupoteza mapato ya halimashauri kwani badala ya kukusanya ushuru wa siku saba kwa wiki watakuwa wanakusanya ushuru wa mnada ambao ni siku moja kwa wiki jambo ambalo kimahesabu halikubaliki 

Kwa upande wake katibu wa ccm wilaya ya Mufindi Jimsoni Mhagama alisema inapaswa busara kutumika katika kuwasimamia wafanyabiashara hao na kuchana na kutumia ubabe kwani nao wanahaki ya kufanyabiashara kama wanavyofanya watu wengine .


Mhagama alisema kuwa serekali ya Raisi Magufuli ni serekali
inayowangalia wafanyabiashara wadogo kwa jicho la pili ili waweze kufanikiwa katika biashara hao na kuwanyanyasa au kuwahamisha bila ya kukaa chini na ukubaliaba siyo jambo la busra na ofisi yake atajaribu kuangallia jinsi gani ya kuwasaidia ili wafikie muafaka 





Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...