Skip to main content

Tigo yafikisha upatikanaji wa huduma ya 4G LTE Moshi



Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kaskazini George Lugata (katikati)  akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) katika uzinduzi wa huduma ya 4G LTE jijini Dodoma, kushoto ni Meneja wa huduma ya 4G LTE, Benedict Mponzi na kulia kwake ni Meneja Masoko wa kanda ya kaskazini  Kephar Kileo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mapema leo mjini Moshi.


Meneja wa huduma ya 4G LTE, Benedict Mponzi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) katikati ni Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kaskazini George Lugata na kulia kwake ni  Meneja Masoko wa kanda ya kaskazini  Kephar Kileo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mapema leo mjini Moshi.



Moshi,
Februari 24 2016.
Wateja
wa Tigo waishio Moshi sasa wanaweza kupata mtandao wa intaneti wenye kasi kubwa
zaidi kufuatia upanuzi wa upatikanaji wa huduma ya 4G LTE hadi kufikia jiji
hilo lilopo kaskazini mwa Tanzania Teknolojia ya 4G LTE ina kasi mara tano
zaidi kuliko teknolojia ya 3G inayopatikana nchini kwa sasa.

‘’Upanuzi huu umetokana na mafanikio
makubwa yaliyopatikana katika majaribio ya awali ya utoaji huduma ya 4G jijini
Dar es Salaam kuanzia mapema mwaka jana,’’ amesema Mkurugenzi wa Kanda ya
Kaskazini, George Lugata.
Akizungumza leo na waandishi wa habari
mjini Moshi, Lugata amesema: "uzindu wa 4G ni kielelezo cha jinsi ambavyo
Tigo imedhamiria kufanikisha kuleta mabadiliko ya dijitali katika maisha ya
watanzania na pia kuwa katika msitari wa mbele wa kutumia teknolojia ya kisasa
na kibunifu nchini Tanzania."

Mtandao wa 4G LTE una kasi kubwa zaidi
katika kuperuzi na kupakua kwa urahisi kutoka kwenye mtandao wa intaneti na pia
katika kufanya mawasiliano kwa njia ya Skype. Huduma hii pia inaharakisha
urushwaji wa picha za video na ubora hali ya juu na kufanya mikutano kwa njia
ya mtandao. 

“Tunapenda kuwahakikishia wateja wetu
waishio Moshi kwamba sasa wanaweza kufurahia huduma bora zaidi za mawasiliano
kutoka Tigo na Intaneti yenye kasi zaidi,” Lugata amesema. Moshi ni moja wapo
ya miji mikubwa Tanzania, na pia inajivunia bandari ndani ya Afrika Mashariki
na kwa sababu ya bahari ya Hindi ni kivutio cha utalii nchini.
Wateja wote wa Tigo 4G LTE watanufaika
na promosheni; kila atakapo ongeza salió la shilingi  elfu moja au zaidi, atapata mb 500 bure kama
bonasí.

Ametaja miji mingine katika mikoa sita
ambapo 4G inapatikana kuwa ni Moshi, Dodoma, Morogoro, Tanga na Arusha, “jambo
ambalo linaifanya Tigo kuwa na mtandao mkubwa wa 4G nchini Tanzania.” Lengo kuu
ni kufikisha huduma ya 4G katika kila kona za nchi ifikapo mwaka ujao, Lugata
ameongeza kusema.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...