Skip to main content

Tigo yafungua duka Jipya mjini Tunduma



Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kusini, Jackson Kiswaga, akizungumza na wakazi wa Tunduma na wafanyakazi wa duka jipya la Tigo Tunduma katika hafla ya ufunguzi wa duka hilo. Hafla hii ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita 




Mkuu wa wilaya ya Momba, Richard Mbeho, akiongea na wakaazi wa Tunduma (hawapo pichani) katika hafla ya ufunguzi wa duka jipya la Tigo lilipo mjini Tunduma, Mkoa wa Mbeya mwishoni mwa wiki iliyopita 





Wakazi wa Tunduma na wafanyakazi wa Tigo wa duka jipya la Tunduma wakisiliza kwa makini hotuba ya mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Momba, Richard Mbeho,(hayupo pichani) katika hafla ya ufunguzi wa duka hilo mwishoni mwa wiki iliyopita . 





Mkuu wa Wilaya ya Momba, Richard Mbeho, aliyeko kulia na Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kusini, Jackson Kiswaga, Meneja Ubora na Huduma kwa Wateja wa Tigo, Mwangaza Matotola,Meneja wa Operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana(Kulia), wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa duka jipya la Tigo lililopomjini Tunduma mwishoni mwa wiki iliyopita 



Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Momba, Richard Mbeho, na Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kusini, Jackson Kiswaga,wakimsikiliza mmoja wa wafanyakazi wa Tigo wa duka la Tunduma kuhusu huduma zitakazotolewa katika duka hilo lililofunguliwa mwisho mwa wiki iliyopita. 





Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kusini, Jackson Kiswaga na Meneja wa Operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana, wakimkabidhi zawadi Mkuu wa Wilaya ya Momba, Richard Mbeho aliyehudhuria hafla hiyo kama mgeni rasmi 





Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kusini, Jackson Kiswaga akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wa Tigo wa duka jipya la Tigo Tunduma mara baada ya ufunguzi wa duka hilo 

Kampuni ya simu ya Tigo imefungua duka jipya Tunduma ambalo limepunguza adha kwa wateja wa kampuni hii ambao walikuwa wanatafuta huduma kwa wateja umbali mrefu toka kwa makazi yao

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa duka hilo Mkurungezi wa Tigo Kanda ya kusini Bw.Jackson Kiswaga alisema uzinduzi wa duka hili ni moja ya mipango ya kampuni ya Tigo kusogeza huduma karibu na wateja wake.

"Kampuni ya tigo imeangalia fursa zilizopo katika eneo la Tunduma ambapo kwa pamoja tumeiona ni jinsi gani tunaweza kusaidiana na wakulima na wafanya biashara kuweza kufanya huduma mabalimbali za kibenki kwa kutumia simu za mkononi"Alisema Kiswaga. 

Kiswaga alisema kuwa duka hilo linategemea kuhudumia wateja wapatao mia tatu kwa siku wakipata huduma mbalimbali ikiwemo huduma za kuunganishwa kwenye intaneti, usajili wa laini za simu na kurudisha laini zilizopotea pia kununua simu za kisasa.

Kwa upande wa katibu wa
mkuu wa wilaya ya Tunduma Mhe. Richard Mbeho alipongeza hatua za Tigo za
ufunguzi wa duka hili kwa kuwa utarahisisha upatikanaji wa huduma kwa wateja wa
wilaya ya Tunduma. 









Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...