Skip to main content

SERIKALI YAZISHAURI TAASISI ZA KIBENKI NCHINI KUWA NA VILABU VYA MICHEZO NA MASHINDANO

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imezishauri Taasisi za Kibenki zilizopo nchini kuanzisha timu na vilabu vya michezo ili kukuza michezo pamoja na kuongeza fursa za ajira kwa vijana walio wengi ambao wana vipaji lakini hawana timu za kuwaendeleza.

Hayo yamebainishwa kupitia kwa Waziri mwenye dhamana, Mh. Nape Nnauye mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati wa kukabidhi zawadi mbalimbali ikiwemo tuzo za wachezaji bora walioshinda katika michezo maalum ya BRAZUKA KIBENKI iliyoandaliwa na benki ya Barclays na wadau wengine.

Waziri Nape amebainisha kuwa, Nia ya Serikali ya awamu ya tano ni kuhakikisha inakuza michezo na kuwa na fursa za kiuchumi kupitia michezo hivyo taasisi hizo zinazo fursa ya kuongeza ajira na ustawi mzuri wa michezo endapo zitaanzisha timu za michezo na kimashindano kwani zinaweza na zinao wajibu huo.

Kwa mujibu wa Mratibu wa michuano hiyo, Nasikiwa Berya alieleza kuwa, jumla ya timu 16 zilishiriki huku ikianza 28 Novemba 2015 na kufikia tamati 20 Februari 2016 ilikuwa ni ya aina yake na kutoa mwangaza wa kimaendeleo wa kimichezo ambapo pia imesaidia kuimarisha afya, ushikamano na undugu kwa baina ya wachezaji na washangiliaji ambao wengi wao walitoka katika mabenki shiriki 15 ikiwemo matawi yao ya Tanzania Bara na Visiwani.

Katika tukio hilo, washindi mbalimbali walipatiwa vyeti vya shukrani hii ni pamoja na wadhamini wa mashindano hayo ikiwemo kutoka mabenki, kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group) na makampuni mengine walipewa vyeti vya shukrani katika kufanikisha michuano hiyo.

Tazama MO tv Online, kuona tukio hilo hapa:



Imeandaliwa na Andrew Chale,Modewjiblog/MO tv)

Mwakilishi kutoka MeTL Group, Bw.Zainul Mzige (kulia) akikabidhi cheti cha ushindi kwa Mchezaji Nuhu Mkuchu kutoka benki ya NMB.


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye akikabidhi tuzo ya golikipa bora, Gabriel Bernard.


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye akikabidhi tuzo ya mfungaji bora mchezaji kutoka benki ya NMB, Ahmed Nassoro.

Baadhi ya washiriki na wageni mbalimbali walifika katika tukio hilo...


Mratibu wa michuano hiyo Brazuka Kibenki, Bi. Nasikiwa Berya akikabidhi cheti kwa mmoja wa washindi wa michuano hiyo.. 


Mratibu wa michuano hiyo, Nasikiwa Berya akikabidhi cheti kwa mshindi..


Waratibu wa mashindano ya Brazuka Kibenki, Bi.Nasikiwa Berya akiwa na Raymond Bunyinyiga wakifurahia jambo kutoka kwa Waziri wa Habari, Nape Nnauye. (Hayupo pichani).


Waziri Nape akimkabidhi tuzo ya mchezaji Bora, Ahmed Nassoro.


Rais wa shirikisho la Soka nchini, (TFF), Jamal Malinzi akikabidhi cheti cha ushind kwa moja ya washiriki wa michuano ya Brazuka Kibenki.


Mratibu wa michuano hiyo, Nasikiwa Berya akikabidhi cheti kwa mshiriki..


Baadhi ya washiriki..


zoezi likiendelea..


Utoaji wa vyeti ukiendelea..


Waziri Nape akimkabidho tuzo, Kocha Bora, Bw. Mohamed Hussen 'Machinga' ambaye aliwahi kuwa mchezaji wa timu za Taifa na klabu kubwa za Tanzania ikiwemo Simba.


Mwakilishi kutoka MeTL Group, Zainul Mzige akikabidhi cheti kwa mmoja wa washindi wa michuano ya Brazuka Kibenki. Zainul alikabidhi cheti hicho akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group), Mohammed Dewji 'MO'.


Waziri Nape akimkabidhi cheti Rais wa TFF, Jamali Malinzi, ambapo cheti hicho ni maalum kwa TFF kuongeza mchango wao kaatika kukuza michezo nchini..


Waziri Nape akitoa tuzo hizo..


Waziri Nape akitoa tuzo hizo..


Waziri Nape akitoa tuzo hizo..


Rais wa TFF akikabidhi tuzo hizo


Utoaji wa tuzo hizo ukiendelea..


Waziri Nape akitoa tuzo hizo..


wageni waalikwa na washiriki kutoka mabenki mbalimbali..


Waziri Nape akitoa tuzo hizo..


Mwakilishi kutoka MeTL Group, Zainul Mzige akitoa vyeti kwa washiriki


Baadhi ya washindi walifanikiwa kutwaa tuzo hizo za Brazuka Kibenki kutoka benki ya NMB.


Wachezaji bora 11, wakipata picha ya pamoja..


Waziri Nape Nnauye akitoa nasaha fupi katika tukio hilo..


Mwandishi Mwandamizi wa habari wa mtandao wa Modewjiblog, Bw. Andrew Chale akiwa katika picha ya pamoja na Mwakilishi kutoka MeTL Group, Zainul Mzige.


Baadhi wa washriki na washindi wa Brazuka Kibenki..


Hapa ilikuwa ni furaha kwa washiriki katika tukio hilo la Brazuka Kibenki..


Ilikuwa ni mwendo wa kucheza na kufurahia Kibrazuka..


Waziri Nape akipeana mkono naMwakilishi wa MeTL Group, Zainul Mzige katika meza kuu ya wageni waalikwa. Zainul Mzige alimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa MeTL Group, Mohammed Dewji 'MO'.


Baadhi ya washiriki wakipata picha za ukumbusho katika tukio hilo.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...