Skip to main content

TAASISI YA TWA YAANDAA KONGAMANO LA KUTOA AHADI YA UWIANO SAWA WA KIJINSIA




Mwenyekiti wa Tanzania Women of Achievement , Sadaka Gandi akiongea na washiriki wa kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi  lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili.Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.
Rais wa Tanzania Women of Achievement Irene Kiwia  akitoa hotuba ya ufunguzi  katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi  lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili.Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.



Mgeni Rasmi ,Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk .Ashatu Kijaji akitoa hotuba yake katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi  lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia,






Mwongoza Mada Modesta Mbughunia   kifurahia jambo   katika mjadala wa Uwiano sawa wa kijinsia uliofanyika katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.



Mhadhiri kutoka Centre of Foreign Relations and International  Affairs  Prof.Ruth Meena akifafanua jambo wakati mjadala kuhusu uwiano sawa wa kijinsia  katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi   lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita  .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) kukiwa na kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.



Mmoja wa wazungumzaji wakuu Prof Slyvia Kaaya akichangia mada katika mjadala wa uwiano sawa wa kijinsia pembeni yake ni Bi Mary Rusimbi aliyekuwa mkurungezi mtendaji wa BOT ,na kulia kwake ni Mwenyekiti wa TAWLA Aisha Bade ,anayefuatia ni Mtendaji Mkuu wa WOMEN FUND TANZANIA Mary Rusimbi     katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi   lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita  .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) kukiwa na kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia



Waziri wa fedha mstaafu Mama Zakhia Meghji akichangia katika ya uwiano sawa katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi   lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita  .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) kukiwa na kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia



Mwandishi wa habari Mkongwe Bi Edda Sanga akichnagia mada ya Usawa wa Kijinsia katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi   lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita  .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) kukiwa na kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia



Mfanyabiashara na blogger Monica Joseph akichangia mada katika mjadala wa usawa wa kijinsia katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi   lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita  .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) kukiwa na kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia



MC Taji Liundi akiongoza utaratibu katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi   lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita  .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) kukiwa na kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia



Mwanafalsafa Dk Elie Waminian akitoa mada katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi   lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita  .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) kukiwa na kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia
Mmoja wa wasichana waliopata usimamizi (Mentorship )  kutokaTaasisi ya  TWA Dalini Kilemba akitoa ushuhuda kwa washiriki  jinsi TWA walivyoweza kubadilisha maisha yake  katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi  yaliyofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili.Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.



Mtendaji Mkuu wa WOMEN FUND TANZANIA Mary Rusimbi ambaye alikuwa mmoja wa wazungumzaji wakuu katika mazungumzo yaliyofanyika katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi akitoa neno la shukrami kwa washiriki  .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsi


Mwanamzuki CHi akitumbuiza katika katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi   lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita  .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) kukiwa na kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia



Washiriki mbalimbali wa kongamano wakiweka saini zao katika ubao maalum katika namna ya kutoa ahadi ya Uwiano sahihi wa kijinsia  katika kongamano la  shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi   lililofanyika jijini  katika hotel ya Hyatt Regency, jijini Dar es Salaam mapema jumapili iliyopita .Kongamano hilo  liliandaliwa  na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) kukiwa na kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia









Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...