Skip to main content

USIKU WA MISS DEBORA MKAMA WA ILEMELA MKOANI MWANZA WAFANA

Jana usiku March 03,2016 ulikuwa ni Usiku wa Miss DEBORA JACKSON ROSKA MKAMA (kushoto) mkazi wa Lumala, Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza.

Ulikuwa ni Usiku maalumu kwa ajili ya Miss Debora kwa ajili ya SENDOFF PARTY iliyofanyika katika Ukumbi wa Ebeneza ulioko katika Kanisa la KKKT Iloganzara Manispaa ya Ilemela.

Miss Debora anatarajia kufunga Pingu za Maisha na Mwanahabari na Mtangazaji wa Radio Storm Fm ya Mkoani Geita, JOEL MADUKA, siku ya kesho March 05,2016 katika Kanisa la AICT Igoma Jijini Mwanza na baadae sherehe kuhamia katika Ukumbi wa Mwanza Youth Centre uliopo Mlango Mmoja Jijini Mwanza.

Mwenye Kinasa sauti pichani juu ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sendoff akiwakaribisha Waalikwa.
Mwenye Kinasa sauti ni Mchungaji wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya, Ilemela Mkoani Mwanza Dkt.Daniel Kulola akimkaribisha bibi harusi Mtarajiwa pamoja na wageni waalikwa kwa maombi.
Bibi harusi Mtarajiwa Debora Jackson akikata utepe kuingia Ukumbini
Kushoto ni bibi harusi mtarajiwa akiingia ukumbini kwa madaha akiwa pamoja na msimamizi wake
Kulia ni Bibi harusi mtarajiwa akijiandaa kukata keki
Kwa heshima na nidhamu kabisa, Bibi harusi Mtarajiwa akiwakabidhi keki wazazi wake Upande wa Bwana harusi
Kwa heshima na nidhamu kabisa, Bibi harusi Mtarajiwa akiwakabidhi keki wazazi wake Upande wa bibi harusi
Bibi harusi mtarajiwa (Kulia) akiwa pamoja na msimamizi wake
Ndugu wa bibi harusi, Joram Samweli akifungua Shampain kwa madaha kabisa
Bibi harusi mtarajiwa (kulia) akiwa pamoja na msimamizi wake tayari kwa kuonja shampain
Wageni waalikwa wakigonga cheers na bibi harusi mtarajiwa
Wageni waalikwa wakigonga cheers na bibi harusi mtarajiwa
Wageni waalikwa wakigonga cheers na bibi harusi mtarajiwa
Muda wa bibi harusi mtarajiwa, kumtafuta mpendwa wake sasa
Huyooooooooo, mpendwa kapatikana. Ni Joel Maduka (Kushoto) akiwa na bibi harusi mtarajiwa (kulia)
Cheers kwanza
Bibi harusi mtarajiwa akiwa na bwana harusi mtarajiwa katika kuchukua msosi
Ni upendo wa dhati
Mzazi wa bibi harusi akitoa nasaha kwa bibi harusi mtarajiwa
Debora akawaambia "Msinikawize, mradi Bwana amefanikisha njia yangu, nipendi ruhusa niende kwa bwana wangu".
Bonyea HAPA Kutazama picha za Kuvishwa Pete.
Imeandaliwa na Binagi Media Group.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...