Skip to main content

WWF WAFADHILI KIJIJI CHA MBWELELI KUTEKELEZA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI


Afisa Maendeleo ya Jamii wa shirika la WWF, Martha Sanga akitambulisha shirika lake kwa wajumbe wa serikali ya Kijiji cha Mbweleli Kata ya Migoli, tarafa ya Isimani wilayani Iringa wakati wa kikao cha ndani jana. Shirika la WWF kwa shirikiana Halmashauri ya Wilaya ya Iringa limefadhili mpango shirikishi jamii wa matumizi bora ya ardhi wa miaka kumi (2016-2026).


Wajumbe wa serikali ya kijiji wakifuatilia kikao




Mmoja wa wajumbe serikali katika Kijiji cha Mbweleli akiwafafanulia wananchi mradi wa mpango wa matumzi bora ya ardhi pamoja na sheria namba 5 ya ardhi ya vijiji ya mwaka 1999 wakati wa mkutano mkuu wa hadhara uliofanyika kijijini hapo jana.

Mkazi wa Kijiji cha Mbweleli Comas Chale akiuliza swali wakati wa mkutano mkuu wa kijiji wa kutambulisha mpango shirikishi jamii wa matumizi bora ya ardhi jana, unaofadhiliwa na shirika la WWF kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.








Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ambao ni Afisa Mipango miji na vijiji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Zahoro Mwalongo (kushoto) na Mrasimu Ramani (Cartographer) Geoffrey Mwanga wakichukua jira (points) za ardhi kwa kutumia kifaa maalum cha GPS kwa ajili ya kupima mipaka ya vitongoji vya kijiji cha Mbweleli ambavyo ni Mbweleli, Chekeckea, Quba, Sinza na Chamazala pamoja na huduma za jamii na barabara zilizopo kijijini hapo leo. Mpango umefadhiliwa na WWF na halmashauri ya wilaya ya Iringa.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...