Skip to main content

MKUTANO WA 12 WA BARAZA LA WADAU WA MAZIWA TANZANIA

Kutoka kushoto ni Msajiili wa Bodi ya Maziwa Tanzania Nelson Kilangozi, Kaimu wa Mwenyekiti wa Baraza la Wadau wa Maziwa Tanzania, Mark Tsoxo, Mwenyekiti wa Baraza la Wadau wa Maziwa Tanzania Dr. Ally Majani, Mwenyekit wa Bodi ya Maziwa Tanzania Aichi Kitalya na mwakilishi kutoka wizarani. 


Mwenyekiti wa Baraza la Wadau wa Maziwa Tanzania Dr. Ally Majaniakifungua mkutano wa mwaka wa kumi na mbili (12) wa baraza hilo ,unahusisha wajumbe wote waliochagauliwa toka katika wilaya zote Tanzania unaofanyika mkoani Njombe, wakati wa maadhimisho ya Kitaifa ya wiki ya Maziwa.

Maadhimisho ya wiki ya maziwa kitaifa yanafanyika katika viwaja vya shule ya sekondari Mpechi mkoani Njombe ambapo kesho ni kilele.




















NJOMBE: Kaimu Mkuu Wa Mkoa Wa Njombe Anatory Choya Amewaagiza Walimu Wa Kuu Na Wakurugenzi Kuanzisha Utaratibu Wa Kufuga Ng'ombe Wa Maziwa Kwa Shule Za Sekondari Na Msingi Ili Wanafunzi Waweze Kunufaika Na Elimu Ya Ufugaji Wa Ng'ombe Hao Na Kutambua Umuhimu Wa Kunywa Maziwa Na Kuendelea Utalaamu Wa Kufuga Hata Wakirudi Uraiani.

Kauli Hiyo Na Kaimu Mkuu Wa Mkoa Huyo Choya Wakati Akiwa Mgeni Rasmi Kwenye Uzinduzi Wa Wiki Ya Uhamasishaji Wa Unywaji Maziwa Ambayo Kilele Chake Kinatarajia Kufanyika June Mosi Mwaka Huu Yakifanyikia Katika Uwanja Wa Shule Ya Sekondari Mpechi Mjini Njombe Ambapo Endapo Shule Zitakuwa Na Ng'ombe Mmoja Itasaidia Wanafunzi Kupata Maziwa Na Kujifunza Namna Wanavyoweza Kufuga.

Choya Amesema Wakurugenzi Wanatakiwa Kwenda Kufanya Kila Liwezekanalo Kwaajili Ya Kuhakikisha Shule Hizo Zinakuwa Na Ng'ombe Hao Na Kupeleka Watalaamu Wa Mifugo Ambao Watasimamia Na Kuelimisha Wanafunzi Namna Ya Kuwafuga Ng'ombe Hao Huku Akitaka Wazazi Kuhakikisha Wanapunguza Tatizo La Udumavu Kwa Watoto Kwa Kuwapatia Maziwa Kama Lishe Bora Kwa Watoto.

Katika Hatua Nyingine Choya Amewataka Wafanyabiashara Wa Maziwa Kuacha Tabia Ya Kuuza Maziwa Yaliyokwisha Muda Wake Wa Matumizi Kwa Binadamu Kwani Siku Chache Zilizopita Kuna Baadhi Ya Wafanyabiashara Wamekamatwa Wakiwa Na Maziwa Yaliyokwisha Muda Wake Jambo Ambalo Linasababisha Wananchi Kupata Madhara Ya Magonjwa Bila Kujitambua.

Awali Akizungumza Mwenyekiti Wa Bodi Ya Maziwa Tanzania Daktari Wa Mifugo Aichi Kitalyi Pamoja Na Kupongeza Wananchi Wa Mkoa Wa Njombe Kwa Juhudi Za Kuzarisha Na Kuendeleza Mpango Wa Unywaji Maziwa Lakini Amesema Wananchi Wanatakiwa Kunywa Maziwa Kama Chakula Na Siyo Kama Dawa Na Elimu Itaenea Kwa Wananchi Wote Katika Kipindi Hiki ChaMaadhimisho Hayo.

Kwa Upande Wake Makamu Mwenyekiti Wa Baraza La Wadau Wa Maziwa Bwana Mark Tsoxo Amesema Mkoa Wa Njombe Una Hali Ya Hewa Nzuri Inayoruhusu Ustawishaji Wa Ng'ombe Wa Maziwa Na Hivyo Wadau Na Wananchi Wanatakiwa Kuwekeza Kwenye Ufugaji Wa Ng'ombe Wa Maziwa Huku Akiomba Serikali Kusaidia Kuweka Mazingira Mazuri Yanayovutia Uwekezaji Wa Maziwa Kwa Sekta Binafsi.

Kauli Mbiu Ya Maadhimisho Hayo Kwa Mwaka Huu Inasema Jenga Tabia Ya Kunywa Maziwa Kwa Afya Na Uchumi.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...