Skip to main content

WAANDISHI WA HABARI WATEMBELEA JUMUIYA ZA WATUMIA MAJI (WUAs)








Chanzo cha maji kinachohifadhiwa na jumuiya ya ya watumia maji cha MBUTILU wilaya ya wanging'ombe mkoani Njombe. 






Mwenyekiti wa Jumuiya ya MBUMTILU Asheri Ludaliko Kilasi akiwaelezea mwandishi wa habari jinsi gani jumuiya hiyo imeweza kutunza Chanzo cha maji cha mto Mtitafu. MBUMTILU inajumlisha mito mitatu ya Mtitafu, Bukwe na Lubidzi ambapo wameweza kuhifadhi jumla ya vyanzo vya maji 428. Jumuiya hiyo alianzishwa mwaka 2009 wilaya ya wanging'ombe mkoani Njombe kwa ufadhili wa shirika la uhifadhi la WWF.










Chanzo cha maji kinachohifadhiwa na jumuiya ya watumia maji ya MBUTILU Wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe kwa ufadhili wa shirika la WWF. 









Banio la maji katika mto Mtitafu wilayani Wanging’ombe

















Kitalu cha miti ya asilia ya Mivengi cha Jumuiya ya MBUMTILU chenye miti zaidi ya 1,440 ambayo inatarajiwa kupandwa katika vyanzo vya maji 196. WWF imewawezesha Jumuiya hiyo vifaa vya uwagiliaji.
















Wajumbe wa kamati ya misitu ya kijiji cha Mabadaga wilayani mbarali mkoani Mbeya wakiwatembembeza waandishi wa habari katika misitu wa kijijin hicho uliyohifadhiwa. Misitu huo una jumla ya hekta 900.










Mweka Hazina wa jumuiya ya JUWABODOFYA Ferista Chengula. Ziara hiyo ilifadhiliwa na WWF kupitia program ya maji ya Ruaha (RWP) kwa kushirikiana na Mratibu wa mradi huyo James Mturi. 






Katibu wa umoja wa watumia maji JUWABODOFYA Joseph Malamla wakiwaonesha wanahabari kutoka TBC (Irene Mwakalinga), Mwananchi (Hakimu Mwafongo), Star TV (Mawazo Malembeka), ITV (Silvanus Kigomba) na Guardian (Friday Simbaya) miembepoli iliyopandwa kwa chanzo cha maji cha mto Mfyamba jana. Jumuiya hiyo ipo katika Kata ya Madibila wilayani Mbarali.
















Wajumbe wa Jumuiya ya watumia maji bonde dogo la mto Mfyamba (JUWABODOFYA) akiongea na waandishi wa habari. Jumuiya hiyo inajumuisha vijiji sita vya uhambila, Matelefu, Mapogolo, Ihanzutwa, Nyamakuyu na Nyakadete.






Mweka Hazina wa JUWABODOFYA Ferista Chengula.


Ziara hiyo ilifadhiliwa na WWF kupitia program ya maji ya Ruaha (RWP) kwa kushirikiana Mratibu wa hiyo James 




Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...