Skip to main content

WAFUGAJI WADOGO WALIA NA BEI NDOGO YA MAZIWA




Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Ushirika (WKMU) sehemu ya mifugo, Dkt. Maria Mashingo (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa mfugaji wa mdogo wa ng'ombe wa maziwa mjini Njombe Paul Kasunga alipotembelea banda hilo maonesho wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya unywaji wa maziwa yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe wiki iliyopita. (Picha na Friday Simbaya) 




Ng'ombe wa maziwa aina ya Ayshire ambaye ana umri miaka mitano anauwezo wakutoa lita 22 ya maziwa kwa siku. 






Small milk producer Wema Gilbert Ngimbuchi (blind) of Ikuna Village Ikuna in Ward, Njombe district sings before the Permanent Secretary in the Ministry of Agriculture, livestock and Cooperatives (livestock section) Dr. Mary Mashingo (left) as a sign of thankfulness after she was handed over a registration certificate as a milk producer supplied by Tanzania Dairy Board (TDB) during the peak week of drinking milk made nationally in Njombe region last week. The Staff of the East Africa Dairy Development (EADD II) for their unity, they performed an act of mercy by the presenting a cow to her (Wema Ngimbuchi) worth Tsh. 1,000,000/=. (Photo by Friday Simbaya)





Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Ushirika (sehemu ya mifugo) Dkt. Maria Mashingo (kushoto) akipeana mkono na mzalishaji mdogo wa ng'ombe wa maziwa Wema Gilbert Ngimbuchi (mlemavu wa macho) wa Kijiji cha Ikuna Kata ya Ikuna, wilyani Njombe, mkoani Njommbe baada ya kumkabidhi cheti cha usajili cha mzalishaji mdogo wa maziwa kilichotolewa na Bodi ya Maziwa Tanzania (TDB) wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya unywaji wa maziwa yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe wiki iliyopita. Wafanyakazi wa Mradi wa uendelezaji sekta ya maziwa Afrika Mashariki (EADD II) awamu ya pili kwa umoja wao,walifanya tendo la huruma kwa kumzawadia mfuaji huyo mtamba wa ng`ombe mwenye thamani ya Tsh. 1,000,000/=. (Picha na Friday Simbaya)






Permanent Secretary in the Ministry of Agriculture, livestock and Cooperatives (livestock section) Dr. Mary Mashingo (left) shakes hand with small milk producer Wema Gilbert Ngimbuchi (blind) of Ikuna Village Ikuna in Ward, Njombe district, after handed over a registration certificate as a milk producer supplied by Tanzania Dairy Board (TDB) during the peak week of drinking milk made nationally in Njombe region last week. The Staff of the East Africa Dairy Development (EADD II) for their unity, they performed an act of mercy by the presenting a cow to her (Wema Ngimbuchi)worth Tsh. 1,000,000/=. (Photo by Friday Simbaya) 




Baadhi ya wafanyakazi wa Mradi wa uendelezaji sekta ya maziwa Afrika Mashariki (EADD II) kutoka mikoa ya Mbeya, Njombe na Iringa wakiwa katika picha ya pamoja.




Mfugaji wa ng’ombe wa maziwa kutoka kitovu (dairy hub) kutoka kikundi cha wafugaji wadogo Halmashauri ya Njombe (WAWAHANJO) katika kijiji cha Ikando Rahel Mhema akiongea na mwandishi wa habari nyumbani kwake katika Ikando wilaya Njombe mkoani njombe.










Mfugaji wa ng’ombe wa maziwa kutoka kitovu (dairy hub) kutoka kikundi cha wafugaji wadogo Halmashauri ya Njombe (WAWAHANJO) katika kijiji cha Ikando Rahel Mhema akionesha marobota yako ya hei (majani ya Rhodes boma) katika sehemu kavu iliyoezekwa kuzuia jua na mvua alipotembelewa na mwandishi wa habari hivi karibuni. Mfugaji huyo alipata mafunzo ya dhana ya kutengeneza hei kwa njia rahisi ya kufunga marobota ya hei kwa njia mkono kutoka Mradi wa uendelezaji sekta ya maziwa Afrika Mashariki (EADD II) awamu wa pili kwa kushirikana na Heifer International.

























Mfugaji wa ng’ombe wa maziwa kutoka kikundi cha wafugaji wadogo cha mshikamano Efrahana Kidenya katika kijiji cha Mhaji wilayani Wanging’ombe, Mkoa wa Njombe akiwa katika shamba la ekari moja la malisho la majani (hei) aina ya Rhodes boma. 




Ndama aliyezaliwa kwa njia Uhimilishaji












Bustani ya mboga za majani (kitchen garden).






Mshauri mwandamizi wa biashara kutoka EADD II mkoa wa Njombe Joseph Lyamuya (kulia) akiwa mfugaji kutoka katika kijiji cha Mlevela kata ya Igima wilayani Wanging’ombe, Mkoa wa Njombe.












Mfugaji wa ng’ombe wa maziwa Catherine Mlowe akiwa na mme wake kutoka katika kijiji cha Mlevela kata ya Igima wilayani Wanging’ombe, Mkoa wa Njombe akionesha sehemu ya kuhifadhia mkojo wa ng’ombe kutoka banda la ng'ombe unayotumika kama mbolea kwenye bustani ya mboga za majani (kitchen garden).




Mradi wa uendelezaji sekta ya maziwa afrika mashariki (EADD II) awamu ya pili umeinua kipato cha wafugaji wa ng’ombe wa maziwa katika mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya kwa kuwajengea uwezo wa kutumia fursa ya kukusanya maziwa kwa pamoja, kupata mafunzo na huduma mbalimbali za ufugaji na biashara ya maziwa kupitia vyama vya wafugaji.

Meneja wa mradi nchini Mark Tsoxo aliwaambia mtandao wa SIMBAYABLOG jana kuwa mradi huo umeweza kufanya wafugaji wadogo wa ng’ombe wa maziwa kuwa na mahali pakukusanyia na kuhifadhi maziwa kwa wingi (dairy hubs), upatikanaji wa huduma za kinga na tiba ya mifugo, uboreshaji wa koosafu (breeding line) ya ng’ombe, upatikanaji wa mbegu za malisho, vyakula vya ziada vya mifugo pamoja na kutoa ushauri na huduma za ugani.


Tsoxo alisema kuwa EADD II itawawezesha wafugaji kitaalamu kutumia teknolojia mpya na stadi za uzalishaji malisho, kuwa na vyanzo mbadala vya vyakula bora vya mifugo, ukusanyaji, upoozaji na usafirishaji wa maziwa.


Alisema kuwa mradi huu wa EADD II utaweka kupaumbele katika kuuganisha nguvu ya pamoja ya wafugaji na usawa wa kijinsia ili kuongeza tija kuwanufaisha walengwa katika kaya zipato 136,000 katika Afrika Mashairiki na jamii kwa ujumla. Kwa Tanzania mradi umelenga kunufaisha kaya 35,000. 


Mradi huu unatekelezwa na ushirikiano baina ya mashirika matano ya maendeleo. Mashirika hayo ni Heifer International Tanzania (ushauri na huduma za ugani), Technoserve (ushauri wa biashara na masoko), ICRAF (mazingira na malisho), African Breeders Service (Uhimilishaji) na International Livestock Research Institute (Masuala ya utafiti) 

http://www.heifer.org/campaign/fund-a-project/east-africa-dairy-development-ii.html





Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...