Skip to main content

Kitabu kinachoelezea mbinu zinazotumiwa na watu matajiri kufanikiwa kimaisha chazinduliwa Dar





Imeelezwa kwamba watu wengi wamekuwa wakishindwa kufanikiwa kimaisha kutokana na kutokuwa na mipango ya kimaisha ambayo wanaweza kuifanyia kazi ili waweze kufanikiwa kama jinsi ilivyo kwa baadhi ya watu ambao wanaonekana kuwa na mafanikio.


Hayo yamesemwa na Mwandishi wa kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO, Joel Nanauka wakati wa uzinduzi wa kitabu hcho ambacho kinnaelezea mbinu 60 ambazo zinatumiwa na watu waliofanikiwa kimaisha kuweza kufikia alengo ambayo wamejiwekeakatika maisha yao.


Nanauka alisema watu wengi wamekuwa wakitamani kufanikiwa lakini wamekuwa hawajui ni hatua gani za kupitia na kufanikiwa na baada ya yeye kufanya utafiti wa muda mrefu kwa watu mbalimbali duniani waliofanikiwa na wasiofanikiwa, ameweza kupata mbinu 60 ambazo ndiyo zinatofautisha watu wa matabaka hayo mawili


Alisema kupitia kitabu hicho msmaji ataweza kufahamu ni mambo gani anatakiwa kufanya na yapi hatakiwi kufanya ili kufanikiwa kama wengine kwa kuzingatia mbinu ambazo pia zimekuwa zikitumiwa na watu waliofanikiwa katika nyanja mbalimbali kama biashara, michezo, sanaa na hata uongozi.


"Watu wengi wanapenda kufanikiwa lakini kama huna malengo huwezi kufanikiwa, watu wengi hawajui wanatumia njia gani ili kufanikiwa na hadi wanaondoka duniani wanaondoka na ndoto walizokuwa nazo, ndoto ambazo zilitakiwa kubaki zikifanya kazi duniani,


"Sababu ya kuandika kitabu hiki ilianza nipotaka kujua utofauti wa waliofanikiwa na wasiofanikiwa, aliyefanikiwa kwa aliye Marekani na Tanzania na asiefanikiwa aliye Tanzania a Mareani, nilianza kusoa kwanini wengine wanaweza kufanikiwa katikati ya mamilioni ya watu na baada ya kupata mawazo ya jumla ndiyo nikapata mbinu 60 ambazo zipo katika kitabu cha TIMIZA AHADI YAKO," alisema Nanauka.


Nanauka alisema kitabu hicho kitakuwa kikuzwa kwa Tsh. 10,000 na anaamini kila ambaye ataweza kusoma kitabu hicho ataweza kupata kitu kipya ambacho kitaweza kumsadiakufanikiwa na kufika ndoto abazo anatamani kuzifikia.


"Matumaini yangu kila atakaesoma kitabu hiki maisha yake yabadilike kutokana na mambo ambayo atayasoma na kila mtu hatajutia kusoma kitabu hiki, nimekiandaa kwa muda mrefu kwa kufanya tafiti nyingi na kuweka mifano ambayo naamini itabadili maisha ya watu wengi wataokisoma," alisema Nanauka.




Mwandishi wa kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO, Joel Nanauka akizungumza kuhusu kitabu cha TIMIZA ALENGO YAKO na jinsi ambavyo kinaweza kubadili maisha ya watu ambao watakisoma. 






Mwandishi wa kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO, Joel Nanauka akizunguza kuhusu kitabu cha TIMIZA AHADI YAKO wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho ambacho kitauzwa kwa Tsh. 10,000. 





Mshauri wa Saikolojia na Mahusiano, ambaye pia ni Mhadhiri wa somo la Saikolojia katika Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dr. Chris Mauki akizungumza mambo ya kuzingatiwa ili mtu afanikiwa kimaisha. 






Mshauri wa Saikolojia na Mahusiano, ambaye pia ni Mhadhiri wa somo la Saikolojia katika Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dr. Chris Mauki akifanya uzinduzi wa kitabu cha TIMIZA AHADI YAKO. 






Mwandishi wa kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO, Joel Nanauka akipiga makofi mara baada ya Mshauri wa Saikolojia na Mahusiano, ambaye pia ni Mhadhiri wa somo la Saikolojia katika Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dr. Chris Mauki kukamilisha zoezi la uzinduzi wa kitabu hicho. 






Makamu wa Rais wa TCCIA, Octavian Mshiu akilezea jinsi kitabu TIMIZA MALENGO YAKO kilivyoandaliwa na faida kwa msomaji. 











Baadhi ya watu waliohudhuria uzinduzi wa kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO. 

















Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...