Skip to main content

MTOTO WA MIAKA MINNE ABAKWA HADI KUFA


JESHI la polisi mkoani Iringa linamshikilia mganga wa kienyeji kwa tuhuma ya mauaji ya mtoto wa miaka minne (jina limehifadhiwa) eneo la kihesa Semtema katika Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa.

Mganga huyo anayejulikana kwa majina ya Peter Mtuka (44) mkazi wa Sumbawanga alikamatwa na jeshi la polisi baada ya mwili wa marehmu kukutwa karibu na eneo lake lakufanyia shughuli za uganga kwa ajili ya mahojiano. 

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Iringa, Kamshina Msaisizi wa Polisi (ACP), John Kauga amedhitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo alisema kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa 7:30 usiku Oktoba 26 mwaka huu. 

Akielezea kutoweka kwa mtoto huyo, Kaimu kamanda alisema kuwa Oktoba 25 mwaka huu akiwa nyumbani kwao majira saa 2:30 na 3:00 asubuhi alitoweka katika mazingira ya kutatanisha, na ndipo saa 4 asubuhi  wazazi wake walienda kuotoa taarifa polisi kuhusu kupotea kwa mtoto huyo katika kituo cha Polisi cha kati.


Alisema baada ya wazazi hao na majirani waliendelea kumtafuta mtoto huyo, ambapo ilipofika majira ya saa 7:30 usiku wa kuamkia Oktoba 26 walifanikiwa kumpata mtoto huyo katika moja ya pagale lililokuwa jirani na nyumba anayofanyia shughuli za kiuganga mganga huyo kienyeji akiwa amefariki dunia.


Kauga alisema baada ya kuupata mwili huo, walitoa taarifa katika kituo cha Polisi na mwili ulipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa kwa uchunguzi zaidi,na ndipo vipimo vya Daktari vilisema kuwa mtoto huyo alifariki dunia baada ya kukosa hewa baada ya kukabwa na mtu au watu wasijulikana.


Aidha Kaimu kamanda huyo aliongeza kuwa mbali na kukabwa lakini pia vipimo vilionyesha mtoto huyo alibakwa na kulawitiwa na mtu au watu wasiojulikana.


Polisi walisema wanamshikilia mganga wa kienyeji kutokana na mwili wa mtoto kukutwa karibu na analofanyia shughuli za zake za uganga na kuhusianisha na tukio hilo na masuala ya ushirikina.

Naye Monica Msani ambaye ni mama wa mtoto huyo alisema kuwa anauchungu mkubwa sana kwani mtoto wake kwa mara ya mwisho alimuona akiwa anacheza na wenzie nje ya nyumba yao na ndipo alipotoka kwenda kumuangalia ili aende kunywa chai ndipo walipomkuta hayupo na wenzake kutoaelewa alielekea wapi.



Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...