Skip to main content

PAUL MAKONDA AFANYA TUKIO HILI LA MFANO MKOA WA DAR ES SALAAM


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam kutunza mazingira hasa sehemu zenye mazalia ya mbu ili kuepukana na ugonjwa wa mabusha na matende.Makonda ametoa wito huo siku ya leo.


Kata ya Buguruni wakati akizindua kampeni ya uhamasishaji unywaji dawa na kufanyiwa upasuaji kwa magonjwa yasiyopewa kipaumbele ambayo ni Matende, Mabusha, Kichocho, Minyoo na Usubi, ambapo takwimu zinaonesha wakazi wa Dar es Salaam wamekuwa wakisumbuliwa na magonjwa ya minyoo, matende na mabusha.



Makonda ameeleza ni vyema wakazi wa Dar es Salaam wakaitumia fursa hiyo ya kampeni itakayodumu kwa siku tano kuanzia siku ya leo mpaka Oktoba 30, kwani kujitokeza kwao kwa wingi kupimwa na kunywa dawa kutaisaidia serikali kuinua nguvu kazi itakayochochea ukuaji wa uchumi kwani watu wakiugua maradhi hayo bila ya kupata tiba au kuwa na kinga mapema hupoteza nguvu kazi.


Makonda ameongeza kuwa takribani ya watu 6400 wamegundulika na mabusha hivyo ni vyema wakawahi mapema na wengine wajitokeze kwa wingi kuizidi idadi ya wananchi milioni 3.9 waliojitokeza mwaka 2009.


Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Grace Maghembe amewataka wakazi hao kutosikiliza upotoshaji wa kuwa wakitumia dawa hizo hawatakuwa na uwezo wa kupata watoto na badala yake wajitokeze kwa wingi kwani dawa hizo ni salama, huku akisisitiza kuwa kwa zoezi la unywaji wa dawa litaishia Oktoba 30 huku upasuaji ukiendelea mpaka mwezi Desemba ambapo tayari upasuaji kwa watu wenye mabusha unaendelea kwa kituo kilichopo Pugu na zaidi ya watu 76 wamepatiwa matibabu katika kituo hicho, ambapo hapo baadae wataongeza vituo vingi zaidi kwa maeneo mengine.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...