Skip to main content

ZAIDI YA WADAU 100 UKANDA WA KUSINI WATASHIRIKI MAADHISHO YA UTALII


Ofisi ya mkuu wa mkoa wa iringa kwa kushirikiana na wizara ya maliasili na utalii, mradi wa kuboreha mtandao wa hifadhi zakusini mwa Tanzania (SPANEST) pamoja na na wadau mbalimbali imeazimia kufanya sherehe za maadhimisho ya utalii ukanda wa kusini mwa Tanzania ujulikanao kama ‘karibu Tanzania southern circuit’.

sherehe za maadhimisho ya utalii ukanda wa kusini mwa Tanzania unaojumwisha mikoa ya iringa, mbeya, katavi, songwe, morogoro na ruvuma zitafanyika kabla ya tarehe 30 November mwaka 2016 ili kwenda sambamba na maadhimisho yanayofanyika duniani kote.

Lengo kuu ya sherehe ya maadhisho hayo ni kukuza na kuendeleza utalii kikanda na taifa kwa ujumla. 

Maadhimisho ya Utalii yafanyike kwa Siku 3 kuanzia tarehe 27-29 Novemba, 2016. Tarehe hizo zimechaguliwa ili:-

-Kutoa fursa ya kutosha kwa Mkoa kufanya maandalizi ya kufanikisha sherehe hizo.

-Kutoa fursa kwa wadau wa Mikoa ya kusini kushiriki katika maandalizi na maonyesho haya ambayo yanafanyika kwa mara ya Kwanza Mkoani Iringa.

-Kwenda sambamba na kipindi cha maadhimisho ya Utalii Duniani ambacho ni kuanzia tarehe 25 Sept. -30 Nov. kila Mwaka. 

Maadhimisho hayo yatajikita zaidi katika kuutangaza Utalii wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ambapo zaidi ya wadau 100 Ukanda wa Kusini watashiriki.Wadau hao ni pamoja na:-

-Wizara ya Maliasili na Utalii na Taasisi zake (TANAPA, TAWA na TFS).

-Serikali za Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na Halmashauri zake.

-Wadau wa Miradi ya Maendeleo na Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira kama SPANEST, WCS, Ruaha Carnivores, STEPS, Panda Miti Kibiashara.

-Wenye Mahoteli, wasafirishaji abiria, wajasiliamali wa shughuli

na Makampuni ya Kitalii.

-Taasisi za Kifedha 

- Watoa huduma za mawasiliano kama TTCL, Tigo, Voda Com, Airtel, Zantel, Halotel na watoa huduma za ving’amuzi kama Star times, Zuku n.k.


-Taasisi za Elimu-Vyuo Vikuu vya Iringa,Mkwawa, Ruco, VETA, Chuo Kikuu Huria, na vyuo vinavyotoa

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...