Skip to main content

DC HAPI AIBUA MADUDU KINONDONI,NI YALE YA TASAF



MKUU wa Wilaya ya Kinondoni,Ally Hapi amemuagiza Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Aron Kagurumjuli kumvua nyazifa za uongoni mratibu wa Mfuko wa Kusaidia kaya masikini(TASAF) katika wilaya kinondoni Onesmo Oyango baada ya kubainika kuwaingiza kwenye malipo watu 1,397 ambao hawana sifa ya kuwalipwa fedha za hizo ambao wameghalimu zaidi ya milioni 266.9. Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo...


Hata hivyo,Hapi amewaomba viongozi wa Mfuko huo, ngazi ya taifa kumchukulia hatua pia mlipaji mkuu wa Taifa kwa hatua yake ya kuhusika kuwalipa watu hao, huku akijua hawana sifa ya kulipwa stahiki hizo.


Pamoja na hayo,Hapi pia ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupamba na Rushwa (TAKUKURU) katika wilaya yake kufanya uchunguzi wa kina kwa wanufaika wote na TASAF ili kujilizisha kama wsanafuaika hao wanasifa za kupewa fedha hizo.


Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam Hapi amesema baada ya uchunguzi wa kina uliofanywa kwa wanufaika wote wa fedha hizo ambao walitakiwa kunufaika ni watu masikini ambao hawana hata uwezo kuhudumia familia zao lakini wameshangazwa na hatua ya kulipwa watu wasiokuwa na sifa hizo.
,
“Wamelipwa watu wenye uwezo sio masikini au kaya masikini ambazo zilitakiwa kusaidiwa na mfuko huu “amesema Hapi.

Ameeleza kuwa mbali na watu hao wasikuwa na sifa pia wamebaini hata watu walionufaika na fedha hizo hawajulikana hata makazi wanapoishi jambo analodai limetia shaka ata fedha hizo, uwenda zilikuwa zinakwenda kwa wajanja wachache.

“Lazima tumsadia Rais John Magufuli kupambana watu wote wanaofanya ufisadi kwa watendaji ,kwa hiyo hapa naitaka (TAKUKURU) kufanya uchunguzi wa kina ,pamoja na taasisi za kinidhamu kwa wafanyakazi kwa watendaji hawa ili hatua zichukuliwe kwa wate waliohusika na kadhia hii,”ameongeza Hapi.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...