Skip to main content

SERIKALI YAWATOA HUFU WANANCHI KUHUSU UGONJWA WA ZIKA,SOMA HAPO KUJUA



Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imekanusha uwepo wa taarifa juu ya ugonjwa wa ZIKA hapa nchini.


Waziri wa Afya, Mh. Ummy Mwalimu pamoja na Naibu wake Dk. Hamisi Kigwangalla wakitolea ufafanuzi mbele ya waandishi wa Habari, wamesema wananchi wasiogope na wamewatoa hofu kwani taarifa zilizotolewa awali na kuripotiwa na vyombo vya habari walizonukuu kutoka NIMR hazina ukweli wowote na za kupuuzwa.


Aidha, kwa mujibu wa Kaimu Mkuu kitengo cha Mawasiliano Serikalini (Afya), Bi. Catherine Sungurakatika taarifa ya Waziri wa Afya, Mh. Ummy Mwalimu ilieleza: “Napenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zilizoenea kwenye vyombo vya habari na mitandao ya jamii kuhusu uwepo wa ugonjwa wa Zika nchini.

Kama nilivyoeleza mnamo tarehe 31 Januari 2016, ugonjwa huu bado haujaingia nchini, na leo pia napenda kuwatoa hofu wananchi kuwa kwa sasa Tanzania haujathibitishwa kuwepo na ugonjwa wa Zika. Utafiti uliofanywa na NIMR, ulikuwa ni utafiti uliofanyika nchini wa kuchunguza ubora wa kipimo kipya cha kupima magonjwa ya zika na chikungunya.

Kwa utaratibu wa kitafiti, hii ni hatua ya awali tu ya kuangalia ubora na uwezo wa kipimo hicho.Matokeo haya bado yanahitaji kuchunguzwa kwa kina zaidi kupitia vipimo vilivyothibitishwa na Shirika la Afya Duniani.

Wizara itaendelea kushirikiana na Taasisi mbalimbali mbali ndani na nje ya nchi kuendelea na utafiti na ufuatiliaji wa kitaalamu ili kuzuia ugonjwa huu kuwepo Tanzania. Ufuatiliaji wa magonjwa ni endelevu katika sekta ya afya na tuna taratibu za utoaji taarifa wa magonjwa ya kuambukiza na hatari kama vile zika, ebola na mengineyo. Wizara yangu imeshaandaa mkakati wa Zika nchini, ambao unaelekeza utelezaji wa ufuatiliaji wa Zika.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...