Skip to main content

A BODI YA WAKURUGENZI YA BENKI YA DCB ILIYOIPONGEZA TAWI LA DCB MAGOMENI


Mkurugenzi Mtendaji wa DCB Edmund Mkwawa akizungumza wakati wa utoaji wa tuzo kwa tawi la Magomeni baada ya kufanya vyema kiutendaji na kuwapiku matawi mengine ya benki hiyo na kutakiwa kuendelea kudumisha ufanisi wa kazi.

Makamu Mwenyekiti wa bodi ya DCB Lucian Msambichaka akizungumza wakati wa utoaji wa tuzo kwa tawi la Magomeni baada ya kufanya vyema kiutendaji na kuwapiku matawi mengine ya benki hiyo na kutakiwa kuendelea kudumisha ufanisi wa kazi.

Makamau Mwenyekiti wa bodi ya DCB Lucian Msambichaka akikabudhi zawadi kwa na maafisa watano kila mmoja shilingi laki mbili (200,000) ikiwa na lengo la kuwapatia motisha ya kufanya kazi kwa bidii zaidi na kusimamia vizuri uendeshaji wa mikopo hiyo.

Makamu Mwenyekiti wa bodi ya DCB Lucian Msambichakana (wa pili kutoka kulia)akitoa zawadi ya mfano wa hundi kwa maafisa tisa kila mmoja shilingi laki tatu(300,000) ikiwa na lengo la kuwapatia motisha ya kufanya kazi kwa bidii zaidi na kusimamia vizuri uendeshaji wa mikopo hiyo.
Makamu Mwenyekiti wa bodi ya DCB Lucian Msambichakana (wa pili kutoka kulia) akimkabidhi Meneja wa Mikopo ya vikundi Maria Kabeho mfano wa hundi wa shilingi laki tano (500,000) akishuhudiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa DCB Edmund Mkwawa pamoja na wajumbe wa bodi hiyo Maharage Chande na Stephen Mulisa.

Makamu Mwenyekiti wa bodi ya DCB Lucian Msambichakana akimkabidhi alyekuwa meneja mwandamizi wa tawi la Magomeni Gray Ndandika tuzo ya Chairman's awards baada ya kuibuka kidedea.

Wafanyakazi wa tawi la Magomeni wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu Mwenyekiti wa bodi ya DCB Lucian Msambichakana, Mkurugenzi Mtendaji wa DCB Edmund Mkwawa pamoja nawajumbe wa bodi hiyo Maharage Chande na Stephen Mulisa.

Washindi mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu Mwenyekiti wa bodi ya DCB Lucian Msambichakana, Mkurugenzi Mtendaji wa DCB Edmund Mkwawa pamoja na wajumbe wa bodi hiyo Maharage Chande na Stephen Mulisa.

Wafanyakaiz wa Magomeni wakiwa wanashangilia ushindi baada ya kutangazwa.

Makamu Mwenyekiti wa bodi ya DCB Lucian Msambichakana (wa pili kutoka kushoto) akipiga makofi sambamba na Mkurugenzi Mtendaji wa DCB Edmund Mkwawa pamoja na wajumbe wa bodi hiyo Maharage Chande na Stephen Mulisa

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...