Skip to main content

MBUNGE COSATO CHUMI: UMEME CHANZO CHA KUDHOROTESHA HUDUMA BORA ZA AFYA



Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi kulia akisikiliza kilio cha wafanyakazi wa zahanati na vituo vya afya alipotembelea kujionea na kusikiliza changamoto za huduma za afya katika jimbo lake ili kuzitafutia ufumbuvi na kuboresha huduma hiyo.






Na fredy mgunda,Iringa



MBUNGE wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi alifanya ziara ya kuzitembelea zahati,vituo vya afya na hospitali za jimbo hilo kwa lengo la kujionea changamoto za kiafya. 


Akiwa katika ziara hiyo alikumbana na changamoto ya kukosekana kwa umeme katika baadhi zahati za jimbo hilo na kuahidi kulipeleka tatizo hilo bungeni ili litafutiwe ufumbuzi mapema.


Akizungumza na blog hii Chumi alisema tatizo la umeme katika vituo na zahati ni kubwa hivyo inahitajika nguvu ya ziada kutatua tatizo la umeme ili kuboresha afya za wananchi wake pamoja na huduma ya mama na mtoto.


“Hii inasikitisha sana hebu angalia zahati zinavifaa vyote mhimu ila umeme ndio tatizo hatuwezi kupata huduma bora kama hakutakuwa na umeme tunaelekea bungeni nitaenda kuongea na waziri husika ili kutatua changamoto hii” alisema Chumi


Aidha mh chumi alisema kuwa anapenda kuhakikisha kuwa umeme wa REA awamu ya tatu unazifikia zahati zote pamoja na vijiji husika kwa kuwa serikali inalengo la kusambaza umeme vijiji vyote nchi nzima hivyo hata vijiji vya jimbo la Mafinga Mjini vimo katika mpango huo.


Nao baadhi ya Wananchi walimpongeza mbunge huyo kwa kazi kubwa anayoifanya kuwaletea maendeleo katika jimbo la Mafinga Mjini ndani ya mwaka mmoja tu amefanya vitu vingi vizuri tofauti na matarajio ya watu wengi.


“Angalie nyie waandishi wa habari Mbunge Cosato Chumi kwa mwaka moja tu ametengeneza barabara karibi a zote za jimbo huku nyingine zikiwekwa rami,amehangaikia swala la maji tunaona matumaini,swala afya ndio kafanya vitu vingi,michezo ndio mechi zinaendelea na mambo mengine mengi huyu mbunge ni wakuigwa kwa juhudi zake” walisema wananchi


Wananchi hao waliongeza kuwa swala la umeme mbunge wetu ametueleza vizuri sana hivyo tunaimani ya maneno na vitendo yake kuwa analishughurikia kwa umuhimu mkubwa.


Baadhi ya madiwani wa jimbo hilo walisema kuwa kuwa mbunge huyo amekuwa akiwasaidia kutatua changamoto nyingi za kitendaji na kuifanya kazi yetu ya udiwani kuwa rahisi kutokana na mambomengi anayafanya mbunge wetu Cosatio chumi.


“Tunamshukuru Mbunge wetu kwa kuwasaidia wananchi taa za sola kwa vijiji ambavyo havina umeme hizo ni juhudi zake binafsi na sio hilo kafanya mambo mengi sana hadi sasa tunajiona tupo kwenye halmashauri kongwe kumbe ni halmashauri mpya” walisema baadhi ya wadiwani 


Kwa upande wake mwenyekiti wa halmashauri ya Mji wa Mafinga Charle Makoga amesema kuwa changamoto ya umeme ni kubwa katika vijiji ambavyo havipokupata umeme wa REA awamu ya kwanza na pili na ndio sababu inayosababisha huduma za kiafya kudorola katika baadhi ya vijiji.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...