Skip to main content

MANISPAA YA IRINGA YAAGIZWA KUSIMAMIA MIRADI KWA ZINGATIA VIWANGO VYA UBORA




Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)imeiagiza Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa kuboresha barabara zake za pembezoni mwa mji ili zitoe huduma kwa wananchi.

Akizungumza wakati wa majumwisho wa ziara ya siku moja ya kamati kwenye Manispaa ya Iringa jana makamu mwenyekiti wa kamati hiyo Abdallah Chikota alitoa maelekezo kuboresha miundombinu ya barabara pembezoni mwa mji.

Alisema kuwa Manispaa ya Iringa imeelekeza nguvu kubwa katikati ya mji na kusahau barabara za pembezo ambazo zitasaidai kutoa huduma kwa wananchi.

Chikota alisema kuwa wananchi walioko pembezoni mwa mji ni sawa na wananchi wa katikati ya mji.

Kuna tofauti kubwa kati ya wananchi waishio pembezoni na katikakti. Barabara za pembezoni mwa mji hazina kiwamgo vya ubora…,” alisema Chikota.

Aidha, Kamati ya Kudumu ya Bunge za Hesabu za Serikali za Mitaa ilitembelea barabara za Mkimbizi- kihesa Sokoni-Tumaini Univesrsity and Ngome na kukuta havian vivuko kwa kurahisha wananchi kufika kwa krahisa katika makazi yao.

Alisema kuwa barabara hizo pamoja na kukamilika ujenzi wake zilikuwa hazina baadhi ya alama za barabarani na vivuko vya watembelea kwa miguu. 

Hatua hiyo imetokana na ujenzi wa barabara wa hizo kutokuwa na baadhi ya miundombinu vikiwemo vivuko vya kufanya barabara hiyo kutokuwa rafiki kwa mwananchi.

Mradi wa ujenzi wa barabara unajumuisha vipande vitatu vya barabara za Mkimbizi TBA (1.10km), Kihesa Sokoni-University of Iringa (zamani Tumaini University (0.70km) na Ngome–Mwang’ingo (0.45km) uliyobuniwa ili kuinua kiwango cha barabara hizi kutoka changarawe hadi kiwango cha lami.

Halmashauri ya Manispaa ilifanya matengenezo ya barabara hizi kwa kiwango cha lami kwa kutumia fedha za mfuko wa barabara (Road Fund) kwa bajeti ya mwaka 2013/2014 ambazo zilivuka mwaka.

Akitoa taarifa kwa kamati Mhandishi wa Ujenzi wa Manispaa ya Iringa, Mashaka Luhamba alisema kuwa mradi huo ulianza kutekeleza tarehe 1/11/2013 na uilikamilika tarehe 18/09/2014.

Alisema kuwa kazi hiyo ilitekelezwa na Mkandarasi G’S Contractors kwa mkataba wa gharama ya 1,088,505,000/-.

Luhamba alisema kuwa kazi hiyo ililenga na pia kupunguza kero kwa wananchi wa eneo la mkimbizi ambalo halina barabara ya uhakika na lina wakazi wengi.

Naye, Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu alisema amepokea maagizo hayo kutoka kamati ya kudumu ya bunge za hesabu za serikali za mitaa (LAAC)na kuahidi kuyafanya kazi mapendekezo hayo.

Wamoja alisema kuwa kupitia sekritarieti ya mkoa atahakikisha wanasimia utekelekezaji wa maagizo kwa manispaa ya iringa yanafanyika.

Kamati ya kudumu ya bunge za hesabu za serikali za mitaa (LAAC) ilitembelea miradi mbalimbali hapa manispaa ya iringa ikiwemoile ya maji, barabara na machinjio ya kisasa ambao hata hiyo mradi huo umechukua muda mrefu kukamilika (miaka kumi).

Pia kaamti hiyo imeagiza watendaji wa Manispaa ya Iringa kusimamia miradi hiyo inayotumia gharama za walipa kodi kwa kuzingatia viwango wa ubora.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...