Skip to main content

Viongozi Wa Dini Watakiwa Kudumisha Amani Ya Nchi


Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Kiislamu ya Dhi Nureyn Islmaic Foundation, Sheikh Said Ahmed Abri akiendesha mkutano mkuu wa mwaka wa Taasisi hiyo uliojumuisha matawi yote ya Tanzania nzima uliofanyika makao makuu Iringa jana. (Picha na Friday Simbaya)



Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Kiislamu ya Dhi Nureyn Islamic Foundation, Sheikh Said Ahmed Abri akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Asia Abdullah Quran pamoja na vitabu mbalimbali vya dini katika mkutano mkuu wa mwaka wa Taasisi ya Dhi Nureyn Foundation uliojumuisha matawi yote ya Tanzania nzima uliofanyika makao makuu Iringa jana. (Picha na Friday Simbaya)


IRINGA: Katibu Mkuu wa Taasisi ya Kiislamu ya Dhi Nureyn Islamic Foundation ya mjini Iringa Shams Elmi amewataka viongozi wa madhehebu ya dini kuhakikisha wanadumisha utulivu uliopo nchini kwa kuhubiri amani na upendo kwa watu wote. 

Alisema viongozi wa dini wana mchango mkubwa katika jamii, hivyo wanapaswa kuilinda na kuidumisha amani iliyopo na kwamba jukumu walilonalo viongozi ni kuhakikisha jamii wanayoizunguka inaishi katika mazingira ya utulivu na amani kama ndugu. 

Elmi alitoa rai hiyo jana katika mkutano mkuu wa mwaka wa Taasisi ya Dhi Nureyn Foundation... ikijumuisha matawi yote ya Tanzania nzima uliofanyika makao makuu Iringa...ambao ulichukua siku mbili kuanzia tarehe 1-2/4/2017. 

Alisema mkutano mkuu  huo ulikuwa na malengo ya kuthamini mafaniko na changamoto za Taasisi ya Dhi Nureyn Islamic Foundation. 

Mkutano huo walifunguliwa na Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Kiislamu ya Dhi Nureyn Islmaic Foundation, Sheikh Said Ahmed Abri na kuhudhuria na mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Asia Abdallah kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza kwa upande wa serikali. 

Taasisi ya Kiislamu ya Dhi Nureyn Islamic Foundation ya mjini Iringa ilianza tangu mwaka 1984. 


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...