Skip to main content

MASHINDANO YA RITTA KABATI CHALLENGE CUP 2017 YAFANA


Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza (kulia) akipiga mpira kufungua mashindano ya Ritta Kabati Challenge Cup 2017 leo katika uwanja wa Kreluu mjini Iringa golini ni mbunge Kabati ambaye mdhamini wa mashindano hayo na katikati ni mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela ambae alikuwa ni muamuzi wa ufunguzi huo 



Mkuu wa wolaya ya Iringa Richard kasesela kulia akisalimiana na madiwani wa Chadema waliofika katika uzinduzi wa mashindano ya Ritta Kabati Challenge Cup leo kulia kwake ni mbunge wa kilolo Venance Mwamoto , Baraka Kimata na Leah 

Mwenyekiti wa Chadema Iringa mjini Frank Nyalusi kulia akiwa na viongozi mbali mbali meza kuu


Dereva wa DC Iringa Bw Rama akifuatilia mashindano hayo akiwa katika gari 

Mwenyekiti wa kamati ya mashindano Gerald Malekela akisoma taarifa ya mashindano hayo 

Kamati ya mashindano hii hapa 



Mwenyekiti wa IRFA Cyprian Kuyava akipongeza mashindano hayo 

Mwakilishi wa meneja wa NSSF mkoa wa Iringa 

Mbunge Rita Kabati akieleza sababu ya kuanzisha mashindano hayo 

Kamanda wa polisi mkoa Julius Mjengi wa tatu kulia akiwa na mbunge wa kilolo Mwamoto kushoto na viongozi wengine 




Rc Iringa Amina Masenza akifungua mashindano hayo 

Hawa ni viongozi wa timu shiriki 


Rc Iringa akigawa vifaa vya michezo kwa viomgozi wa timu zinazoshiriki mashindano hayo 

Mwenyeki wa chama cha waamuzi mkoa wa Iringa Ramadhan Mahano akikaribisha viongozi kuzindua mashindano hayo 

RC Iringa Amina Masenza akisalimiana na wachezaji wa timu ya Kibwabwa FC 

Diwani Kimata akiwa na timu yake wakati mbunge Kabati akisalimiana na wachezaji 

Mgeni Rasmi mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akisalimina na wachezaji wa timu ya Kihesa Fc ambayo imeshinda mchezo huo kwa goli 1-0

RPC Iringa Julius Mjengi akisalimiana na timu ya Nduli FC 

Mkuu wa mkoa na viongozi mbali mbali wakiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa KIhesa FC 

Rc Iringa akimpongeza mwamuzi wa kitaifa kutoka mjini Iringa Janeth Balama ambapo mkoa unakusudia kumwezesha kupitia wadau ili awe mwamuzi wa kimataifa 

Mbunge Kabati akimpongeza Muamuzi Janeth 

RC akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Kibwabwa FC 

Dc Kasesela akijiandaa kupiga mpira 

Mbunge Venanve Mwamoto na Ritta Kabati wakiwa golini kujiandaa kudaka 

Mlinda mlango Kabati akijaribu kudaka mpira uliopigwa na mkuu wa mkoa wa Iringa Amina masenza 



Janeth Balama akiwajibika 

Makamu mwenyekiti wa Bavicha Taifa Patrick Ole Sosopi katikati akimpongeza mbunge Ritta Kabati kwa kuanzisha mashindano hayo kulia ni mwenyekiti wa chadema Iringa mjini Frank Nyalusi 






Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...