Skip to main content

HANSPOPPE ATOA MSAADA WA GARI LA ZIMAMOTO KWA JESHI LA ZMT


Mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza akimemshukuru Zakaria Hanspope kwa moyo wake wa kurudisha fadhila nyumbani na kuwaomba wananchi kushirikiana na jeshi hilo kufanikisha utendaji wake juzi. Anayeshuhudia ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zima Moto na Uokoaji nchini, Thobias Andengenye (kulia). (Picha na Friday Simbaya)








IRINGA: Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zima Moto na Uokoaji nchini, Thobias Andengenye ameziomba Halmashauri za Manispaa, na majiji nchini kutoa kipaumbele cha visima vya kuchota maji ya zimamoto wakati wa ujenzi wa barabara kwenye maeneo yao.

Andengenye ameeleza hayo juzi kwenye hafla ya makabidhiano ya gari jipya la zima moto lenye uwezo wa kujaza lita elfu tano ambalo limetolewa na mfadhili kwa lengo la kutatua changamoto ya gari inayoukabili mkoa wa Iringa.

Kauli ya Kamishana Jenerali wa Jeshi la Zimamoto inatokana na ukweli kuwa miji mingi na majiji ina msongamano wa nyumba huku kukiwa na visima vichache vya kukinga maji wakati wa matukio ya moto na kusababisha ucheleweshaji wa huduma hiyo. I

Akitoa taarifa ya mkoa, Kamanda wa Zima Moto Iringa, Kennedy Komba amesema mkoa wake ulikuwa na magari mawili ambapo moja lilipata ajali hivi karibuni likiwa linaelekea kuzima moto na hivyo msaada uliotolewa na Zakaria Hanspope utakuwa mkombozi.

Mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza amemshukuru mfadhili huyo kwa moyo wake wa kurudisha fadhila nyumbani na kuwaomba wananchi kushirikiana na jeshi hilo kufanikisha utendaji wake.



Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...